Habari Wakuu,
Kama ambavyo kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mtaalamu wa manunuzi niliyethibitishwa na Bodi ya wataalamu wa ugavi na manunuzi (CPSP). Nina uzoefu wa kufanya kazi katika kampuni tatu tofauti kwenye nafasi ya afisa mgavi. Nina uzoefu wa kufanya kazi za uondoshaji mizigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.