LLB kibao wapo mtaani wanapambana lakini BALE wengi wapo kwenye ajira... kwanza ni course inayochukua watu wachache na opportunities ni nyingi zaidi kwenye banking industry na sehemu zingine..!! Kwa mimi namshauri asome BALE hatokaa mtaani, speaking from experience
BALE ina chance kubwa ya kupata ajira bank kwenye kitengo cha Fraud and Investigations au Police.... ila naaona wengi wanapata kazi bank..!! Nakushauri soma BALE
Habari ya jioni wakuu,
Maisha ya mahusiano ya kimapenzi yana visa vingi sana. Inawezekana umewahi au upo kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri, ebu tupate experience mbali mbali ilikuaje kuaje mpaka mkaingia kwenye mahusiano.
Kwa upande wangu alikuwa ni Mkuu wangu idara, alinipita miaka 20...
Ukiwa na Advanced Diploma hauendi Masters.... unaenda Post Graduate Diploma mwaka mmoja then ndo una-qualify Masters..!! Na by the way kwa Tanzania sasa hivi hakuna chuo kinachotoa Advanced Diploma
Asante sana Kaka.... kuna umbali gani kutoka daraja la Kigamboni na kutoka feri.? Na vipi bei za viwanja zimekaaje.? Eatu wamejanga kisasa au hakujapangika.?
Habari wana JF,
Mimi kazi niko Mwanza ila ni mzaliwa wa DSM na wazazi wangu wanaishi DSM. Leo katika story na wenzangu tumesikia kuna viwanja vinapatikana eneo linaitwa Mkokozi lipo karibu na Kigamboni.
Kwa anayepafahamu naomba maelezo kuhusu ufikaji wake, mazingira yake, hali ya bara bara na...
Nimeikuta sehemu hii floor plan na nimeipenda... Mwenye nayo ameniambia mjengo ni contemporary house. Wataalamu naombeni makadirio ya ujenzi kama nikiitumia hii ramani na inatosha kwenye Kiwanja cha ukubwa gani
Sent from my IN2023 using JamiiForums mobile app
Benki hakuna mikopo kwa ajili ya kujenga commercial building ila kuna mikopo kwa ajili ya kujenga residential building
Sent from my IN2023 using JamiiForums mobile app
Kaka kuna mahala unapotosha..!! Chasis number unaruhusiwa kutembea nayo kuanzia Saa 12 asubuhi mpaka Saa 12 jioni. Na unaruhusiwa kutembea na Chasis number kwa muda usiozidi siku 7 tangu gari itoke bandarini au Show room. Na siyo gari zote za Yard / Showroom zimeshasajiliwa TRA
Naomba kufahamu wapi nitapata vitabu vizuri vya Chemistry na Biology kwa A-Level kwa maduka yaliyopo Dar Es Salaam. Nimeambiwa kuna kitabu cha Ngaiza kwa Chemistry na Biological science kwa Biology. Nataka kumnunulia kijana wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.