Search results

  1. M

    Maisha Poland 🇵🇱 yakoje ( walio wai kuishi au kufanya kazi ) ?

    Kiongozi nimekutafuta PM, ila umefunga PM yako
  2. M

    Ipi kozi nzuri kati ya Bachelor of Law Enforcement na Bachelor of Laws

    LLB kibao wapo mtaani wanapambana lakini BALE wengi wapo kwenye ajira... kwanza ni course inayochukua watu wachache na opportunities ni nyingi zaidi kwenye banking industry na sehemu zingine..!! Kwa mimi namshauri asome BALE hatokaa mtaani, speaking from experience
  3. M

    Ipi kozi nzuri kati ya Bachelor of Law Enforcement na Bachelor of Laws

    BALE ina chance kubwa ya kupata ajira bank kwenye kitengo cha Fraud and Investigations au Police.... ila naaona wengi wanapata kazi bank..!! Nakushauri soma BALE
  4. M

    Uliwezaje kuanzisha au kukubali kuwa na mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?

    Hahahaha wadada si mnasemaga bora wazee... anakupa ela na hakuchoshi. Siyo kama sisi vijana wenzenu
  5. M

    Uliwezaje kuanzisha au kukubali kuwa na mahusiano na mtu aliyekuzidi umri?

    Habari ya jioni wakuu, Maisha ya mahusiano ya kimapenzi yana visa vingi sana. Inawezekana umewahi au upo kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi umri, ebu tupate experience mbali mbali ilikuaje kuaje mpaka mkaingia kwenye mahusiano. Kwa upande wangu alikuwa ni Mkuu wangu idara, alinipita miaka 20...
  6. M

    Wanafunzi kukacha kidato cha 5 & 6 na kujiunga Vyuo vya Diploma, tatizo ni nini?

    Ukiwa na Advanced Diploma hauendi Masters.... unaenda Post Graduate Diploma mwaka mmoja then ndo una-qualify Masters..!! Na by the way kwa Tanzania sasa hivi hakuna chuo kinachotoa Advanced Diploma
  7. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ni-bless na mimi
  8. M

    Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    1. Niko Busy 2. Unapenda Nini 3. Demu Wangu 4. Toa hela 5. My boo Nakupa na bonus 6. Sio Kweli
  9. M

    Anayepafahamu eneo linaitwa Mkokozi

    Ndiyo bei sijui....
  10. M

    Anayepafahamu eneo linaitwa Mkokozi

    Asante sana Kaka.... kuna umbali gani kutoka daraja la Kigamboni na kutoka feri.? Na vipi bei za viwanja zimekaaje.? Eatu wamejanga kisasa au hakujapangika.?
  11. M

    Anayepafahamu eneo linaitwa Mkokozi

    Habari wana JF, Mimi kazi niko Mwanza ila ni mzaliwa wa DSM na wazazi wangu wanaishi DSM. Leo katika story na wenzangu tumesikia kuna viwanja vinapatikana eneo linaitwa Mkokozi lipo karibu na Kigamboni. Kwa anayepafahamu naomba maelezo kuhusu ufikaji wake, mazingira yake, hali ya bara bara na...
  12. M

    Gharama za Ujenzi kwa ramani hii

    Nimeikuta sehemu hii floor plan na nimeipenda... Mwenye nayo ameniambia mjengo ni contemporary house. Wataalamu naombeni makadirio ya ujenzi kama nikiitumia hii ramani na inatosha kwenye Kiwanja cha ukubwa gani Sent from my IN2023 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Hivi Benki kuna mikopo ya build to rent?

    Benki hakuna mikopo kwa ajili ya kujenga commercial building ila kuna mikopo kwa ajili ya kujenga residential building Sent from my IN2023 using JamiiForums mobile app
  14. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu uji sasa Sent from my IN2023 using JamiiForums mobile app
  15. M

    Urafiki na Ushemeji wa hivi Mimi siwezi na nimeujivua SITAKI LAWAMA

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1933589/ Tafuta Kazi kwanza alafu ndo uje tena na story yako
  16. M

    Ufafanuzi wa hii number plate WWD 83320

    Kaka kuna mahala unapotosha..!! Chasis number unaruhusiwa kutembea nayo kuanzia Saa 12 asubuhi mpaka Saa 12 jioni. Na unaruhusiwa kutembea na Chasis number kwa muda usiozidi siku 7 tangu gari itoke bandarini au Show room. Na siyo gari zote za Yard / Showroom zimeshasajiliwa TRA
  17. M

    Msaada wa mawazo

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1577548/ Mkuu si useme tu ni wewe... Kwani kuna shida gani.?
  18. M

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Naomba kufahamu wapi nitapata vitabu vizuri vya Chemistry na Biology kwa A-Level kwa maduka yaliyopo Dar Es Salaam. Nimeambiwa kuna kitabu cha Ngaiza kwa Chemistry na Biological science kwa Biology. Nataka kumnunulia kijana wangu
Back
Top Bottom