Walisha sema "AFRICA IS A BLACK CONTINENT". Hata hivyo ya Kagame ni ya mkosaji. Hakumbuki amezika wangapi kwa ajili ya white house.Na wananchi hawamtaki,nilishashuhudia akirushiwa mawe na chupa za maji huku wakiimba ...the killer,the killer.Mara nasikia wamemzushia kifo.
Huo ulikuwa mcheche wa kuingia IKULU manake tangu dunia iumbwe haijawahi tokea Tanzania hii mkuu wa kaya kufanya kikao na wapinzani wanaomwita 'mfalme'.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.