Ni kweli lakini hii ni basics. Kwa ndege kubwa angani katika spidi kubwa ukitumia rudder itakupa deflection kubwa. Kwa lugha rahisi katika spidi kubwa angani, ndege hutumia ailrons na baadhi ya spoilers. Hivyo ndege hukata kona ilikoinamia.
Marekebisho kidogo. Hiyo ni weather radar antenna. Weather redar ni system ambayo unahusisha Antenna na transceicer. Hapo kwenye pua ya ndege ni Antenna.
Tunauza Sangara kwa bei ya Tsh 7000/1kg, Tupo Tegeta kwa ndevu.
Mawasiliano 0678033668
Pia ninahitaji mtu wa kufanya marketing ya Samaki Sangara na Sato kwa jumla. Malipo tutaongea
Ubunifu wa baadhi ya wadada wa kibongo ni wa hovyo sana. Huwezi kuamini wapo wadada ambao wanaonekana wana elimu nzuri tu lakini wamebuni njia ya kupambana na maisha ni kuwa matapeli. Kuna dada mmoja mimi nilikuwa nikichat naye na anaonekana kasoma bachelor ya IT. Mwisho wa siku kaishia kutapeli...
Kumbukeni Windows OS ilivyokufa!!.
Window OS ni nini na ilikufaje?
Mimi ninavyojua ninkwamba; window, android, Ios, macntosh na nyinginezo zote ni OS. Mimi siyo mzuri sana kwa Computer Science maybe nikajifunza kitu kipya hapa.
Kuna mahesabu kidogo hapo mkuu kuhusiana na lift force.
Lift force inahusiana linearly na parameter hizi; spidi ya ndege, eneo la mabawa na tungamo la hewa (air density). Hivyo ndege hukimbia kwa kasi wa kuruka ili kufikia take off speed ambapo ndege hupata lift force ya kutosha kuinyanyau...
Sijakuchanganya. Ajali ya LION AIR ilitokana na ghafla ndege kuingia kwenye mfumo wa kujiongoza yenyewe na ikaanza kushuka kwa kasi ili hali ilikuwa ikipanda. Karibu uulize tena kama bado sijaeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.