Wadau jamani vipi hali ya usafiri kwa magari kutoka Dar kwenda Arusha. Nina safari ya huko tarehe 28 vipi gari zinapatikana au za shida?
Wanaofahamu naomba wanijuze kama msongamano umepungua.
Jamani najua humu Kuna wataalamu wengine naomba mnisaidie,
Nina mzunguko wa siku 28 ,nilisex siku ya 10 baada ya kuanza period yangu na nikapata mimba.
Je, hapo mtoto anaweza kuwa wa jinsia gani?
Nyumba iwe maeneo ya mianzini au sanawari iwe double(chumba na sebule) ikiwa self itakuwa vizur Zaid isiwe mbali na barabara kuu, kodi itatolewa kulingana na ubora wa nyumba mawasiliano 0768600941
Local disc 350 gb ,Window 7,
Processor 1.6,Ram 2gb, bei ni shilingi 350000
Pm kwa unayehitaji laptop ni kama mpya ipo kwnye hali nzuri na inakaa na chaji sana
Habari zenu wanajamvi.
Wazazi wangu wanataka kurudisha mahari kwa mchumba wangu kisa imani tofauti za kidini, kinachonipa wakati mgumu ni kwamba mwanzoni walikubali kupokea kisa nilikuwa mjamzito.
Sasa nimepata miscarage wazazi na ndugu wamekaa kikao na wanakomaa mahari irudishwe kwa mchumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.