Dar es Salaam ni mji wa Kibiashara Tanzania na ndyo jiji kubwa kuliko yote kwa East Africa (EAC/2020) ikifuatiwa na Mombasa.
Kama ulikua hujui miji yenye gharama za juu kabisa za maisha hii hapa.
1. Dakar-Senegal
2. Adis Ababa -Ethiopia
3. Abidjan -Ivory Cost
4. Harare -Zimbabwe...
Habari,
Kulingana na mzozo uliopo kwa sasa kati ya DRC na Rwanda juu ya tuhuma za Serikali ya Reanda kuwa support waasi wa M23!
Hali ya mzozo imeendelea baada ya DRC kurusha mizinga kadhaa mpakani mwa Rwanda
Rwanda yaahidi kujibu mashambulizi!
Swali? Je kuna uwezekano wa vita kutokea?
Kama...
Habari
Kwa mwenye uzoefu, watu wa benki au wafanyabiashara wa madini!!
Swali langu ni
Je, unaweza fungua account ya kuweka madini?
Tumezoea acc zinatunza hela!
Kutokana na hatari za kiusalama ya kukaa na mzigo wa madini ndani pindi unapo pata au kuanzisha biashara ya kukusanya au kujiwekea...
Miaka 1960-1980 jeshi la Tanzania lilikua ni tishio Africa.
Kwa East Africa ndyo lilikua kinara kwa ubora na kuogopeka kijeshi?
Vita ya tz na Ug ililipa headline nyingine achilia mbali kushiri ukombozi katka nchi zingine.
Lakin sasa zama zimebadilika
Uganda ya sasa si ile
Kenya nayo imepiga...
DRC ni moja ya nchi zilizopo Ukanda wa maziwa makuu!!
Nchi hii imefanikiwa kujiunga na EAC hivi punde baada ya kupewa uanachama hapo 22Novermber 2021
Aidha uamuzi huo umekuja baada na timu ya EAC kwenda DRC kujiridhisha na utimilifu wa vigezo hapo 26june had 5 july
KIFUATACHO
-Itakua n...
Operation dhidi ya wageni au wahamiaji haramu kutoka RWANDA NA BURUNDI iliyotekelezwa na serikali ya tanzania miaka michache iliyopita !!
Je ni kweli Tanzania ilikua inazuia Kagera na kigoma kuwa NEXT KIVU? or next eastern DRC?
Je, umekua na tija kwa Tanzania?
Nini kimebadilika sasa?
Je, tuko...
Habari,
EAC ilianza miaka na kuvunjika 1978, kwa kutokea kwa vita ya tanzania n Uganda. Miaka 40 baadaye EAC imekua dhaifu na iliyovurugwa kuliko jumuiya nyingine yoyote. Kifupi haina muelekeo ; wala mpango wa kuileta pamoja. Imeenda mbali na nje kabisa ya mategemeo na malengo
Nini yalikua...
Wap kwa Dar naweza pata apartment ya bei rahisi!!
Rahisi nikimaanisha irange 200000-400000/= kwa mwezi
Ikiwa katkat ya mji ni vizuri zaidi
Ila hata pembezoni sawa tu
Aliyeturoga watu weusi cjui alikaaa sehemu gani, hasa waafrika!!?
Rais wa Msumbiji na Serikali yake hawataki SADC iwaasaidie kupambana na ISIS wa Msumbiji kundi la kigaidi
Sababu:
Waanadai hawataki kuingiliwa uhuru wao
LAKINI HAPO HAPO
-Ameruhusu nchi za Magharibi ziisaidie nchi hiyo kijeshi...
Ukiangalia hizi nchi za maziwa makuu unaona kabisa kuna mkakati unaendelea. Ukiwa funded na western allies kupitia baadhi ya nchi zilizozoko AFRICA MASHARIKI.
Hapa tunaongelea nchi kama rwanda na uganda !! Ambazo ndo inasadikika zina hiyo ambition
Je, ni ukweli? na ni nni kitaathirika kwenye...
Habari
Wote tunajua kuwa kwasasa jirani zetu wanavohangaishwa na kuchinjwa n kundi la ugaidi msumbiji!!
Siku chache lilifanya fanya uhalifu tz mtwara na baadae kuzimwa!!
Lakini kama tujuavyo bado kundi hilo linakua kwa kasi na serikali imeshashindwa kulidhibiti!!
Kumbuka haya makundi yanakua...
Kwa propagant za west n kana kwamba rwanda inaendelea sanaaa kuliko sehem nyingine africa!
Ingawa uhalisia wake unaonekana wa kawaida sana ukitoa ishu ya jiji safi kigali
Je ni kweli kua rwanda inakuja kua SINGAPORE YA AFRICA BAADA YA MIAKA 50?
Discuss
Habar
Population au idadi ya watu ni suala pevu na lenye mashiko
Linaipa nchi
-bargaining power kwenye soko la dunia
-fulsa ya biashara
-nguvu ya jeshi kwakua na millitary man power
-kupata talent mbalimbali
-n.k
Ifikapo mwaka 2074 tanzania tutakua nchi ya 10 kwa idadi ya watu syo AFRICA...
Iran ndiyo taifa kubwa na lenye nguvu middle East ukiondoa ISRAEL. Hivi karibuni kumekuwa na tetesi ya kushambuliana
Kwanza israel [emoji1134] imekua ikihisiwa kutaka kuishambulia Iran
Sababu!!
Tangu kutoka kwa trump ...Raisi Biden anaonesha nia ya waziwazi kuiondolea vikwazo iran. Iran...
Habari JF,
Kiswahili ni lugha inayoongelewa Tanzania, na baadhi ya sehemu
Kwa kifupi Tanzania ndyo imeshikiria dira ya lugha hii ya kiswahili na ndyo future na destine ya lugha hii
Bado tanzania inajipambanua kama kiongozi na hatma ya Kiswahili.
Nchi nyingine ni Kenya. Ingawa kenya ni lugha...
Habar JF,
Wasomali ni jamii ya watu wanaopatikana ktk pembe ya africa nchi kama kenya ,somalia,somaliland na ethiopia sana sana orgaden
Waethiopia hapa tunaongelea wahabesha,oromo or cushitic.
Kumekuwa na maneno maneno kua hawa watu n wabaguzi kupitiliza.
By comparison Somalian n Waethiopia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.