Utofautishe kati ya introvert na Anti social ww n antisocial usijifariji na kuona uko sawa!!
eti msibani huendi harusini huendi, jirani yako humjuii ww uko na tatzo
Najua introvert wanakua na tatzo la kuchangamana na watu au kuwa waongeaji lakin c kwa haya uloongea ww
Ingawa napnga mauaji lakini binafsi huwa nakereka nimuone mwanaume ana ndevu au anamwili wa kiume afu anaongea kwa mapozi kama mwanamke..,
Kifupi aibu huwa naona mm !!Naona kama tunadharirishwa!!….
sasa apo mwanaume kabisa amepaka wanja make up na anavaa kike afu uambiwe n mwanamke inachefua...
Saizi yamekua maraisi??
Mbona bado tunalia
mishahara imepanda lakini kimaisha hamna mabadiliko!!… hela unaipata ukifika sokoni vitu bei kubwa kuliko ela uliyo nayo
Kuwahamisha ilikua ni lazima!! laa sivyo kusingekua na miji unayoiona leo na vijiji!! watu walikua scattered sana walikua wanalima kila mahali !! na ilikua n ngumu kuweka serikali!!
nyumba moja hapa nyingine had kilomita moja
kifupi kulikua hamna mgawanyo wa ardhi wala matumizi sahihi!!!…
Hivo...
ila wanasifa nyingine!!
Mara nyingi ni malaya sana tena wa chini chini huwezi wajua!!..kama n mwanaume utakuta amekula mademu kalibia chuo kizma ndo mnashtuka!! na mkimyaa
Budget zao ndogo ndo shida!!
Utalaam wa kushoot katika angle tofauti!!
Uhalisia mdogo sana hasa inapokuja sehemu ya kupiga mtu,kupigana,au kufanya kitu ambacho kinahitaj ufundi wa kimovie zaidi
hawana platform nzuri za kuuza kazi
Movie za kutafsiriwa
umeongea utumbo sijapata kuona?? hakuna sheria za wahujumj uchumi,sheria za makosa hazipo?? unawezaje mkamata pasipo na makosa?? mtuhumiwa ndan na uchunguzi unaendelea??
Kwaiyo kwa maana hiyo wapigaj waendelee??
sema anawaogopa na anashirikiana nao??
huwezi sema Kesi si kipau mbele??
haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.