Wadau, kama channel 10, itaendelea kuleta wachambuzi ambao ni bias , kama Humphrey polepole, ni lazima tuikache hii TV kama tulivyo ikataa TBC na star TV, huyu jamaa kutumwa ila amekula vidonge vyake humu JamiiForums na walio mpigia simu wamemchana.
Huyu jamaa siyo mchambuzi huwezi...
 Hii ndio report
Mnamo mwezi February mwaka huu Umoja wa
Katiba ya Wananchi (UKAWA) waliingia ubia na
kampuni maarufu duniani inayojihusisha na tafiti
za siasa (Political Research) ijulikanayo kama
Greenberg Quinlan Rosner. ( Greenberg Quinlan Rosner Research ).
UKAWA walitaka kujua kama...
Kutokuwa TZ siyo hoja hata nakonde siyo tz, hata uk watu wanazamia, jenga hoja kama Elimu ni dili ktk uongozi basi nchi hii tusingikuwa masikini mana wizara nyingi zinaongozwa na madaktari na professors lakini ndio tunazid kuwa masikini kwahiyo usituambie eti unamshinda Elimu mbowe , kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.