Hata kwa hao vijana wataenda kunyanyasika pia
Ila suala la kutengwa na wazazi nadhini sio kwa wazazi wote na hili hata upande wa wahitimu wa kiume linatokea na case kama hizo Niko na vivid example ambapo nimeona vijana wakitengwa na wazazi wao mpaka kufikia hatua ya kuchukiwa kabisa.
Ila...
Kama ni binadamu unakula chakula na ukiwa na faya njema huwezi kushinda siku 3 bila kunyandua mzigo...any way...
Ila hivyo vyoo vinakuchamba vyenyewe tu ukipresa yanakuja maji ya presha na kuondoka na mzigo wote uliogandia kwny vinyweleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.