Nashukuru Mkuu ila inaniwia vigumu ku edit kichwa cha thread, nimeenda kwenye sehemu ya kuedit inaniruhusu kuedit Ujumbe nilioandika.
Mods naombeni msaada wenu kubadili hilo neno Maabara liwe Mgahawa.
Wakuu, heshima kwenu.
Mimi ni mjasiriamali niko Mwanza mjini, Natafuta Chumba cha kupanga Jijini Mwanza kwa ajili ya kufungua Mgahawa wa kuuza chakula.
Kwa ambae anaweza kunisaidia kupata Chumba au sehemu ya kufanyia biashara hiyo au mtu yeyote mwenye sehemu ya kufanyia biashara husika...
Mkuu hata hiyo Kampuni walimtapeli Mhindi wa kiwanda cha Samaki cha TFP yeye pamoja na Jack Masamaki.
Kabla ya kutapeli hiyo Victoria Support alikua ni mpiga doria usiku kukagua malindo ya Knight Support.
Mnapoenda kutembeza mabakuli kwenye Nchi zao je? Hapo ndio matatizo yenu yanakua yanawahusu?
Pesa zenyewe za kufanyia Uchaguzi mpaka wawasaidie halafu mnajifanya vichwa ngumu.
Msiwe wapingaji wa hoja za msingi kwakua tu zimetolewa na wapinzani.
Mbona Serikali imeiondoa hoja yake?
Msiwe mtaleta ushabiki usio na maana kwa maendeleo ya Taifa letu, hii Nchi si mali ya CCM.
StarTv walikua wanarusha kupitia Mitambo yao ila wamekata baada ya mabishano kati ya Zitto na Chenge, Zitto akitaka mjadala wa kujadili hotuba ya Rais usitishwe wajadili ni kwanini TBC ikate matangazo ya moja kwa moja.
Inaonekana wameamrishwa kukata hayo matangazo.
Ungetutajia hiyo product ya kulainisha Ukuta badala ya Gypsum Powder ungetusaidia wengi.
Pia ututajie na madhara ya Gypsum Powder kwenye Ukuta,kwani ndio material inayotumiwa kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.