Kwa hili la umeme tulimvumilia alivyosema scheduled repair ila sasa imekua too much. Brother Makamba fanya kitu Cha kuonekana laasivyo ...you are loosing credibility Kwa waTZ wa kawaida huku
Labda una Nia nzuri ya kufikisha ujumbe fulani ila mfano uliotumia sidhani kama unafit. Wasouth wanashida nyingi sana na wakipata chance tu ya kuloot na kufanya vurugu, they take it. Haohao wanaoandama kwaajili ya Zuma ndio haohao kipindi yuko rais walilalamika anawazingua.
Vurugu za South ni...
Nna jirani yangu kila tukipishana anapandisha barakoa mbili juu [emoji23][emoji23].
Na supermarket ukitoa noti kubwa lazima cashier aikague kama sio counterfeit
Labda ni awe au wawe Wamarekani ambao tayari walikuwepo Tanzania [kwa sababu yoyote ile] halafu wakapatwa na matatizo ya moyo ndo wakapelekwa hapo kupata matibabu.
Hichi ndio sahihi. Kuna raia wakipatwa na shida wakiwa TZ, sio kwamba walifunga safari kutoka US kuja huko
Ngumu kuamini….
Israel nayo ni Kati ya nchi zilizodhibiti COVID kwa kiasi kikubwa. More than 70% ya population yao iko vaccinated enough to induce herd immunity. Maisha yamerudi kama kawaida, ruksa kutovaa mask sehemu za wazi.
Nimejifunza mengi mkuu asante. Kwa anaesoma hii thread halafu anajipa moyo kwamba huyo mwenza wake atabadilika, acha tu hayo mawazo.
Kuna baadhi ya tabia ni kama ngozi
Hii kasumba ni mbaya sana. Pia nadhani ni wakati nyie wenye asili ya "kitanganyika" kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi pia tafuteni hela kwanza ili msije kulalamika mnaonewa.
Lala chief mda umekwenda kweli kweli
Kama wewe ni mtu mwenye Uwezo basi tafuta maeneo ya Forest huko. Kama wewe sio tajiri na wala sio maskini yaani uko middle income flan ivi bas tafuta mazimbu, bigwa, falkland, kihonda kilimanjaro, lukobe, area 5 etc
Kama wewe ni wa kipato cha chini basi tafuta mwembesongo, mafisa, mji mpya...
Mkuu huo ndio uandishi wake wa siku zote. Halafu naona una kitu personal na The Bold maana tangu post zako za juu hapo unamuattack sana halafu sababu zako hazina mashiko, kama wewe ni msomaji wa makala zake kuunganisha matukio sio jambo geni (ingawaje siku hizi anatuburuza...
Nimekua msomaji wa makala za The Bold kwa mwaka wa 5 sasa. To be honest hapa kibongo bongo sijaona mwandishi kama The bold(au labda kwa sababu ya usomaji wangu duni wa kazi za watz). Ila brother habib siku hizi naona kama story zako zinakosa udambwiudambwi fulani ivi ulikuoepo enzi zile. Sio...
Ingawaje wewe unaweza kuwa sio mwanaCCM ila huo ndo ukweli. Tuweke siasa pembeni tuangalie hasa sisi mwelekeo wetu kama taifa ni upi katika hili.
Ego ya mtu mmoja inatucost sana. Mawazo ya mtu mmoja hayawezi yakawa consensus yetu sote. Akisema kufanya hivi ni dawa basi wote humo akisema hivi...
Mpwa what you see on your TL depends na umemfollow nani na yeye kamfollow nani. Fanya hivi nenda kaunfollow "wavuta bangi" wote halafu follow kina Trump na daily news.
Hapo nyuma nilikua na fikra kama zako ila nikaja kugundua maisha haya ni mafupi sana. Since then I've been a firm believer of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.