Search results

  1. maker

    RIZ1 Kikwete anamiliki nyumba aliyonunua bilioni 1?

    Mwana keshaota mziz ya UFISADI kama babaye! Jaman tusipo kuwa makini tutakuja kuishi maisha ya mashaka kipind kijacho kutoka na gap la waliyo nazo na wasiokuwa nazo. Imagine RAIS NA FAMILIA yake wanakuwa na mali na mirad ya mamilion achilia mbal marafik, majiran na wengne wanao muhusu! We need...
  2. maker

    Maoni yako Kuhusu Picha Hii

    Yan duh! Lazima mdogo wangu aogope!!! Mbata mzinga mkubwa ka nyumba alafu tutoto tudogo jamani?! Alafu BATA lenyewe "ZINGA DUME" tutoto "TUSICHANA" mnatakaje ka si kutufunza UOGA WATANZANIA wenzio jamani?
  3. maker

    Matokeo kidato cha nne 2009

    Enz ze2 matokeo had yapelekwe mashulen 2liposemea ndo 2kayaone au 2kaulize kwa afisa elimu wa mkoa yan acha m2 2likuwa 2naish na pesha hata mwez mzma hujui matokeo na yametangazwa tayar
  4. maker

    Enaboishu Secondary School mpo? Tujadiliane

    Cku moja 2metoroka skul nakumbuka ilikuwa kipind matokeo ya form 4 yametoka so 2kawa 2mefika sanawar pale kwa muuza magazet 2nayachek mara ghafla 2naskia saut ya mr. Nkini wakat huo ndo master yan 2liishiwa poz! Mara master akauliza, "vp mbona mpo huku saa tano hii asubuh muda wa masomo?"...
  5. maker

    Enaboishu Secondary School mpo? Tujadiliane

    Kuna kashimo ka taka kalikuwepo maeneo ya njia ya kwenda toilet kwa wasichana nakumbuka tulikachimbaga sana kama adhabu ya mr. Temu. Dah nakumbuka wik nzima hatuonja darasa twachimba shimo la taka kila mhe. akija anasema bado!
  6. maker

    Enaboishu Secondary School mpo? Tujadiliane

    Mm nakumbuka sana class of 99 to 2001 akina LEAH GINWAS, KATO, EMMA MWENERA, KASH JOSEPH,SUZANE SHAYO, JONATHAN SAMWEL, GEOFREY, NISHA MWICHANDE, JEREMIAH, TUMAIN, NA WENGNE WENGI staff, MSHANGA, TEMU, MASAKI, NDASKOI, MALAMSHA, MWASON B NA M, SAKINOI, NKIN NK
  7. maker

    Elections 2010 Piga kampeni kwa simu

    Kiukweli tuna machungu sana na awamu ya nne hasa sie vijana. Mhe. wetu wa awamu ya nne alituharibia sana watu wangu. Aliingia kwa mikwara ya kutudanganya atazalisha ajira kibao hususani kwetu sisi vijana matokeo yake si ndo tunayaona leo twamaliza vyuo twaranda randa mitaani kutafuta kazi...
Back
Top Bottom