Search results

  1. hashycool

    Hata Beach Soccer Tunadundwa tu..

    Tanzania bado tumeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika michezo mbalimbali. Hivi karibuni timu ya mpira wa miguu wa ufukweni (beach soccer) ilikwenda misri katika michuano hiyo ngazi ya Africa ambako nako timu yetu hiyo imeendelea kuwa jamvi la wageni kwa kupigwa karibu kila mechi...
  2. hashycool

    Confirmed: Ni Simba SC vs Nkana Red devils

    Binafsi sioni Nkana ikiizuia Simba ya Cletous Chama... vs
  3. hashycool

    Naomba kujua ratiba ya treni Dar - Tabora

    Hawayuni wanajamvi! Naomba kuulizia kwa yeyote mwenye ratiba ya treni kutoka dar kwenda tabora anijuze tafadhali! Je kesho ipo?
  4. hashycool

    Old Trafford inaungua moto muda huu

    Habari za muda huu ni kuwa uwanja unaotumiwa na timu ya Manchester united unaungua moto. Moto huo umeanzia katika majukwaa ya Sir Bobby Charton na fire fighters wako tayari katika eneo la tukio. A fire broke out at Old Trafford on Monday morning. Crews were called to Manchester United's...
  5. hashycool

    Samtex consultants ni magumashi?

    Hawa jamaa wanahusika na recruitment kwa ajili ya kazi, kuna ndugu yangu mmoja wamemuita kwa ajili ya interview ila wanataka kwanza alipe sh 20000/= kabla ya interview. Kwa anayewafahamu hawa ni kweli wako genuine au magumashi?
  6. hashycool

    papa na mic...

    papa aliposhika mic kama rappa...
  7. hashycool

    Dream team

    unakikumbuka hiki kikosi? nitajie majina yao
  8. hashycool

    Ulipitia hii?

  9. hashycool

    Hii kali

    HEBU PATISHIA HUYU ANAWEZA KUWA ANATOKEA MKOA GANI HUMU TANZANIA
  10. hashycool

    Aaaaah! Nassari

    imekaaje hii?
  11. hashycool

    He! Kumbe nimezaliwa leo?

    Hivi nyie siku mlizozaliwa mnafanyaga nini?....... damn! siku zinakwenda aisee mvi zisha anza kutoka happy b day mimi!
  12. hashycool

    Free zanzibar from mkoloni mweusi! Mh

  13. hashycool

    Michelle obsession.....

    The subject of my obsession doesn’t have a clue She’s probably somewhere now, not knowing what I’m going through Every breath that comes in me carries her scent Every breath coming out has her in it too Simple flashbacks of us together, Send a burning rush through me Cuz every memory is...
  14. hashycool

    Michelle.....

    Don’t talk to me of love. I’ve had an earful And I get tearful when I’ve downed a drink or two. I’m one of your talking wounded. I’m a hostage. I’m maroonded. But I’m in JF with you. Yes, I’m angry at the way I’ve been bamboozled And resentful at the mess that I’ve been through. I admit I’m on...
  15. hashycool

    Mkutano wa wawekezaji - Rukwa

    Mkutano wa fursa za uwekezaji katika ukanda wa ziwa tanganyika live kutoka rukwa sasa TBC1.... Rais kikwete,waziri mkuu,mabalozi na wawekezaji...
  16. hashycool

    Live..mdahalo shivji,kingunge...itv

    Shivj, kingunge ndani ya mdahalo live ITV maadhimisho ya kumbukumbu ya nyerere...
  17. hashycool

    Hela ya radar yarejeshwa

    Jana Membe kasema BA systems wameomba account ya TZ ili waweke pesa ya watanzania pesa kutumiwa kununua vitabu milioni nne,nyumba za walimu mia hamsini na madawati laki mbili my take:je waliokula rushwa kuwajibishwa?
  18. hashycool

    Msaada kwenye tuta

    Ni vipi ninaweza kupata matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2006 mtandaoni? Natanguliza shukurani...
  19. hashycool

    Riddle for the day

    A riddle for the day Arnold Schwarzenegger has a big one. John Komba has a small one. Madonna doesn't have one. The Pope has one but doesn't use it. Kikwete uses his all the time. Zitto has an unusual one. Sheikh Simba never used his on women. Makamba is very, very proud...
  20. hashycool

    Manchester united vs marseille

    Manchester United itaendeleza mbio zake za kuwania Champions League title leo kwa kuifuata Marseille kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Stade Velodrome. Kama tujuavyo tunategemea utamu wa mashetani wekundu leo,lakini kwa upande mwingine wanakibarua kigumu leo cha kukabiliana na marseille ambao...
Back
Top Bottom