Tanzania bado tumeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika michezo mbalimbali. Hivi karibuni timu ya mpira wa miguu wa ufukweni (beach soccer) ilikwenda misri katika michuano hiyo ngazi ya Africa ambako nako timu yetu hiyo imeendelea kuwa jamvi la wageni kwa kupigwa karibu kila mechi...
Habari za muda huu ni kuwa uwanja unaotumiwa na timu ya Manchester united unaungua moto.
Moto huo umeanzia katika majukwaa ya Sir Bobby Charton na fire fighters wako tayari katika eneo la tukio.
A fire broke out at Old Trafford on Monday morning.
Crews were called to Manchester United's...
Hawa jamaa wanahusika na recruitment kwa ajili ya kazi, kuna ndugu yangu mmoja wamemuita kwa ajili ya interview ila wanataka kwanza alipe sh 20000/= kabla ya interview. Kwa anayewafahamu hawa ni kweli wako genuine au magumashi?
The subject of my obsession doesnt have a clue
Shes probably somewhere now, not knowing what Im going through
Every breath that comes in me carries her scent
Every breath coming out has her in it too
Simple flashbacks of us together,
Send a burning rush through me
Cuz every memory is...
Dont talk to me of love. Ive had an earful
And I get tearful when Ive downed a drink or two.
Im one of your talking wounded.
Im a hostage. Im maroonded.
But Im in JF with you.
Yes, Im angry at the way Ive been bamboozled
And resentful at the mess that Ive been through.
I admit Im on...
Jana Membe kasema BA systems wameomba account ya TZ ili waweke pesa ya watanzania
pesa kutumiwa kununua vitabu milioni nne,nyumba za walimu mia hamsini na madawati laki mbili
my take:je waliokula rushwa kuwajibishwa?
A riddle for the day
Arnold Schwarzenegger has a big one.
John Komba has a small one.
Madonna doesn't have one.
The Pope has one but doesn't use it.
Kikwete uses his all the time.
Zitto has an unusual one.
Sheikh Simba never used his on women.
Makamba is very, very proud...
Manchester United itaendeleza mbio zake za kuwania Champions League title leo kwa kuifuata Marseille kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Stade Velodrome. Kama tujuavyo tunategemea utamu wa mashetani wekundu leo,lakini kwa upande mwingine wanakibarua kigumu leo cha kukabiliana na marseille ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.