Mkuu utakua umekurupuka. Huu uzi ni wa 2017 ila kwa kua umeona tu jina la marehem ukarukia kutoa lawama.
Tujenge tabia ya kutafakari ama kutafiti japo kidogo kabla ya kusema.
Pembe mbili za ndani, yaani 25 na p jumla yake ni pembe ya nje yaani 105.
Kwa hiyo
25+p=105 (nadharia ya pembe tatu)
p=105-25
p=80.
Au unasemaje mtaalam wetu?
Utakua ulimaanisha familia ya mzee Mtaragala Chilangi wa pale Kamunyonge jirani na kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).
Enzi za uhai wa mzee Chilangi ukipita kwake unakuta vibao mlangoni kulingana na mahali alipo kwa wakati huo. Mfano wa vibao ni HAYUPO, AMELALA, KATOKA, YUPO, KAPUMZIKA, nk. RIP...
Mkuu unaona kwa jicho la tatu. Haka kamwanamke siku hizi majukumu yake pamoja na yule wa hakuna ndoa bila cheti yanatekelezwa na mawowowo huku wao wakiwa hawana lakufanya. Fafafa ni bora kuliko hata wasomi, aibu.
Umetumia microscope gani kung'amua hilo mkuu maana huo utaalamu natamani ningekua nao ili niwe nawatambua watu flani wenye "vitambulisho" zaidi ya kimoja?
Majukumu ya kutawala mkoa si mchezo. Halafu limetuchafulia taifa stars likaifanya matako fc hadi wananchi tukaiombea ipigwe tu na kweli ikapigwa maana hakukua na namna.
Mi namshauri aje hapa kwa jina lake halisi ajitangaze kabisa anausaka ubunge 2020 kuliko kujificha na id ambayo ilishafunuliwa toka akiwa kinondoni akiraruana na bosi wake DAB.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.