Kwakuwa kuuza mwili ni biashara haramu, je kunanjia mbadala ya kuwasiidia dada zetu wanojihusisha na hii biashara.
Msemo wao:
1. Ajila hakuna.
2. Hali ya maisha ni ngumu.
Kwakuwa dada zetu wanauza mwili kwa madai ya kwamba ajira hakuna na maisha ni magumu, na hiki kitu serikali ya Tanzania inakipiga vita.
Je! Kuna njia mbadala ya kuwasaidia hawa madada ili wasiendelee na biashara hii!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.