Tusipo tenganisha siasa nautendaji italeta shida. Mtu kama sirro lazima umwambie kwa hekima na busara kwani kazi anazofanya nitofauti naza mkuu wa mkoa. Mh mkuu wa mkoa jaribu kukaa meza mmoja na kamanda sirro. Mambo ya ndani mnayaleta nje kama mmeshindwa kuwajibika vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.