Ni jambo la kawaida kwa mwanamke jijini tanga kukusalimia na kuanza nastori kuwa kwa sasa mume aliya naya ni wa ...tatu...na,,,. Waganga wako bizii kuwathibitishia wanazo dawa za kuvuta wanawake na wanaume..matangazo yao ni mengi kuliko tahadhari ya hiv ooh. Wageni wamekuta ulimbo na umewanasa...
Wana JF,Uovu u umekithiri. Nguvu kubwa ya kushinda sasa ni kutumia silaha zitokanzo na Mungu Muumba wetu. Atatupa akili na uwezo pia ataangamiza kila nama ya uovu na fikra zenye nia mbaya kinyume na KURA ZILIZOPIGWA. TUWE MACHO WOTE
Hili linatoa fursa ya kuchagua kiongozi kwenye chama chenye msimamo wa kweli. Mpiga kura yeyote kwa tarehe 31 Oktoba fursa nzuri ni hii, CHAGUA CHAMA CHENYE UWAZI NA MSIMAMO ULIO IMARA. Mimi tayari ninao uamuzi, Wewe je?????????
OK. Mwanadamu akikosa ufahamau na kutambua mwanadamu mwenzie ana utashi na maamuzi yake tofauti na ya kwake hupata taabu. Mungu awasaidie viongozi kama yeye kuwa na HEKIMA ya Kimungu katika maamuzi yake.Teru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.