Search results

  1. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Mangi Sina wa Kibosho (aliyeshika bunduki katikati ya maaskari wake). Picha ilipigwa mwaka 1894. Alifariki miaka 4 baadaye. Wageni waliomtembelea kwenye himaya yake walisimulia kama mtu aliyekuwa hodari na shujaa na alionekana mstaarabu na mpole (kama anavyoonekana kwenye picha) lakini alikuwa...
  2. J

    Msimamo wa Nyerere, Mareale UN ulikuwa mmoja

    Ukichunguza historia ni vigumu kuona ni wapi machame imekuwa na mgogoro wa kihistoria na wamarangu. Machame ilipata matatizo na kibosho miaka ya mwisho ya 1880 ambapo Mangi Sina, mtawala wa Kibosho (ambaye yeye mwenyewe alikulia Machame) aliunda zengwe na kuuwa wamachame kadhaa kule Kibosho na...
  3. J

    Hello Chagga people, know your history: Chagga Democratic Party (CDP)

    Wameru (kwa asili waliitwa waarwa) walihamia kwenye miteremko ya mlima Meru katika karne ya 15/16. Kwa asili walitokana na mababu wawili walioitwa Kaaya (aliyekuja kuwa kiongozi wa kabila au Mangi) na Mbise ambao walizaliwa na kiongozi aliyeitwa Lemireny (aliyekuwa msoma nyakati, mbashiri, na...
  4. J

    TANZIA: Chief Shagali Afariki dunia

    Mangi Gilead Abdiel Shangali alikuwa ni mangi wa mwisho kabisa kuwa hai kule uchagani miongoni mwa walioteuliwa kuwa watawala wa jadi nyakati za ukoloni. Wengine wote walishafariki. Mangi Gilead (kama alivyojulikana sana wakati wa uhai wake) alitawazwa rasmi kuwa mangi wa Machame mwaka 1952 kwa...
  5. J

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Hizi hesabu zinanipa kizunguzungu. Yaani CCM wameshinda kati 3 tu wakati CHADEMA 14 halafu unaniambia tofauti ya kura zao ni 6000 tu? Yangu masikio.
  6. J

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Unajua mwanakijiji lazima msimamizi wa uchaguzi aulize kwanza wakuu wa serikali kama atangaze hayo matokeo au nini kifanyike? Mpaka wamwambie sawa ndipo atayatangaza kama yalivyo au vinginevyo itabidi kura za Nassari apewe Sioi na za Sioi atangaziwe Nassari. CCM ndiyo imeshika hatamu, au hujui hilo?
  7. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Kwanza ningependa kuchukua fursa hii kumshukuru Mr Mushi kwa kuwa kisababishi cha kuanza mada hii ambayo imeleta na mengi katika kujifunza juu ya historia ya uchagani. Kutokuridhika kwako hukukaa kimya na kunung'unikia vitandani kama watanzania wengi walivyo, bali uliamua kutoa dukuduku lako ili...
  8. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Snochet, Sifahamu ni mgogoro gani huo unaouzungumzia labda utoe ufafanuzi. Kuhusu kitabu cha Kilimanjaro and its peoples, sina uhakika una maana gani kitamaliza mgogoro wakati hujakisoma bado. Vitabu vyote vilivyotajwa humu jamvini vitaweza kukusaidia kupata mwanga wa historia ya uchagani, hata...
  9. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Hapana. Hii siyo story ya kweli. Nakubali kwamba kuna masimulizi mengi mengi tu yanayotaka kuelezea kilichotokea kwenye mauaji yale ya wamachame kule Kibosho. Kwa mfano, ukienda Moshi utasikia wanasema kwamba wamachame walipatwa na mtego kule Kibosho kwa sababu wanapenda sana kula. Kwa hiyo...
  10. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Nadhani Makupa unaweza kuwa na ukweli fulani unaoueleza. Hata hivyo sidhani kama huo ni aina ya ukweli ambao utamuuma mtu kwa sababu nadhani jamvini hapa watu wanaweza kuwa na mdahalo kwa nia ya kuelimishana na siyo katika mtindo wa kupashana ambapo ndipo mtu anaweza kudhani amedhiliwa. Kuna...
  11. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Uronu, Kuhusu tofauti tofauti zilizopo kati ya wachaga nadhani unaweza kusoma utangulizi kwenye hii website itakupa mwanga ingawa kidogo: Machame - Wikipedia, the free encyclopedia. Juu ya koo za Machame ni vigumu sana kujua leo hii kutokana na kuongezeka kwa watu na wengine kutumia majina...
  12. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Ninakiri kwamba kuna hizi habari watu wanazizungumzia, lakini ni vigumu kuzithibitisha. Zinaonekana kama ni uvumi hivi kwa kiasi kikubwa. Ujasiri wa wanawake wa kimachame umekuwa mara kwa mara ukihusianishwa na mauaji yale yaliyotokea miaka ile ya 1886 ambapo wanaume kadha wa kadha wa kimachame...
  13. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Ni kweli. Wamachame wengi waliona wamesalitiwa na mangi Sina wa Kibosho. Ingawa alishaonekana kuwa na shari lakini hawakutegemea hali ingefikia kuwa mbaya hivyo. Ndiyo maana walipoambiwa amefariki wengi walikwenda ili kumzika mtu wao waliomfahamu siku nyingi. Walikwenda majemedari wa vita na...
  14. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Ni kweli Kithuku. Ukifahamu historia za huko tulikotoka utashangaa sana hasa kwa wachaga. Harakati za kisiasa uchagani zilianza miaka mingi sana siyo jana au juzi kama tunavyofahamu katika historia ya nchi hii ya Tanzania. Ukumbuke pia kwamba, wakati Tanganyika inapata uhuru mwaka 1961 tayari...
  15. J

    Historia ya Wachagga: Koo, Kabila na Falme-Mangi

    Naona nisimulie kwa ufupi historia ya mangi Sina wa Kibosho kwa ajili ya msaada wa baadhi ya watu kwenye forum hii. Ukweli ni kwamba Sina halikuwa jina lake la asili alilopewa na wazazi wake. Kwa wale watakaotaka taarifa zaidi waniandikie kwenye email yangu hapo chini, ila hapa nitasema...
Back
Top Bottom