Search results

  1. M

    Wanasiasa Vibaraka wana cha kujifunza kwa Mobutu Ssese Seko

    Asalamalakum, Nchi yetu imebarikiwa kuwa na resources nyingi sana ikiwemo dhahabu, gas, ardhi, strategic location na amani, hivi ni vitu muhimu sana kwa watu wanaotaka kujiendeleza kiuchumi, unfortunately kumekuwa na "scandals" kadhaa za wanasiasa kuuza rasilimali za taifa kwa wawekezaji bila...
  2. M

    Wahadhiri wa Vyuo Vikuu na mishahara ya Wabunge na Wakurugenzi Mashirika ya Umma

    Habari wana bodi, nimekuwa nikisoma baadhi ya articles zinazo ongelea mchango wa vyuo vikuu marekani katika uchumi wa taifa hilo especially kutengeneza innovators "silicon valley". Kwa kiasi kikubwa maendeleo ya taifa la marekani yamechangiwa sana na innovations zinazofanywa na taasisi zake za...
  3. M

    Kwa kauli zinazotolewa dhidi ya Hayati Magufuli ni wazi kuna wenye wivu na aliyofanya kwa miaka 6 ya utawala wake

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri. Nimekuwa nikifuatilia kauli mbalimbali zinazotolewa na baadhi ya wanasiasa dhidi ya hayati Magufuli. Ni wazi kabisa kuna chuki kubwa dhibi yake. Na ukichunguza kwa undani zaidi utaona wanataka kupandikiza hiyo chuki hata kwa wananchi wa kawaida. Ukweli ni kwamba...
  4. M

    Historia na Viongozi wa Afrika: Kwanini hawana uzalendo?

    Ukifuatilia historia ya bara la Afrika, kwa kiasi kikubwa lipo hapa kwa kukosa viongozi wenye maono ya kutoa watu wao kwenye umasikini. Mbaya zaidi viongozi wengi hawana uzalendo. Historia ni ndefu sana, kwa waliosoma historia wanajua jinsi gani waafrika waliweza kuuza watu wao utumwa kirahisi...
  5. M

    Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa

    Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri...
  6. M

    Ujumbe kwa Mh. Job Ndugai: Ujasiriamali una principles zake

    Mh. Speaker, ningependa kufikisha ujumbe huu kwa ufupi sana. Nimeamua kuandika baada ya kukusikia kwa mara ya pili ukiongelea ugumu wa ajira kwa vijana. Sitaki kujikita sana kwa wajibu wa serikali duniani kote kutengeneza ajira na kuhakikisha sekta binafsi inakuwa kwa kasi ili kutoa fursa za...
  7. M

    Kati ya Salmon na Nile Perch (Sangara) yupi ana Omega 3 fatty acids kuliko mwenzie?

    Ni swali na wale wenye uelewa mpana naomba msaada. Nimejaribu kusoma various articles kuhusu hawa samaki wawili, Salmon anayepatikani baharini na Nile perch yupo ana high concentration ya Omega 3 fatty acids? Kuna wengine wana sema salmon kuna wengine wana sema Nile perch. Kwa wale wenye uelewa...
  8. M

    Ushauri: Serikali ya awamu ya 5 ijifunze kutumia lugha ya kidiplomasia!! Ubabe haujengi, unabomoa

    Kwa muda sasa tangu serikali ya awamu ya Tano ilipoingia madarakani, kumekuwa matumizi ya lugha ambayo inaakisi uelewa mdogo wa diplomasia ya kimataifa na diplomasia ya kiuchumi ukilingamisha na utawala wa Mzee Jakaya. Viongozi mbalimbali wa chama na serikali wamekuwa wakitumia maneno yasiyofaa...
  9. M

    Ushauri: Kampuni ya Twiga ijenge jengo la Makao Makuu Jiji Mwanza waliite Madini House

    Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
  10. M

    Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu limefika kileleni. Serikali ichukue hatuna kuepusha matatizo ya kisiasa na kijamii

    Hili ni kwa serikali na watunga Sera wa Taifa hili. Kuna tafiti moja nilikuwa nasoma imefanywa na Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, nimeshangaa kuona hili tatizo lilipofikia. Sio kwamba nilikuwa sijui bali tatizo ni kubwa na vijana waliohitimu vyuo vya elimu ya juu kwa maelfu hawana...
  11. M

    Bila wanasiasa kubadili fikra ni ngumu sana kuondokana na umasikini

    Leo ningependa kugusia a very dominant premise ya wanasiasa wetu, "Tuzaliane tuongezeke ili uchumi wetu ukue, au tukuze uchumi" kwa ufupi they believe there's a strong correlation between population increase/growth and economic development/growth. Binafsi siamini suala kuongeza idadi ya watu...
  12. M

    Uhamiaji Badilikeni: Acheni kufanya kazi kwa mazoea

    Kati ya taasisi za serikali inayonishangaza katika utendaji wake ni uhamiaji. Especially linapokuja suala la international passport, acheni bureaucracy. Jana nilienda na rafiki yangu ambayo wote tulikuwa na sababu zetu, mmoja akitaka kurenew passport apate ya electronic, mwingine ndio anataka...
  13. M

    Mh. Rais sitisha ujenzi wa stendi za mabasi ya Nyamhongoro na Nyegezi Jijini Mwanza

    Mh. Rais, serikali yako imetenga mabillion ya pesa kwa ujenzi wa stendi za mabasi katika maeneo ya Nyamhongoro na Nyegezi jijini Mwanza, hili ni jambo zuri la kupongezwa katika juhudi za kuboresha miundombinu ya miji yetu, Mh Rais najua unalifahamu vizuri jiji la mwanza ndio maana naandika haya...
  14. M

    Magufuli, ajaye ataweza wewe ukijenga taasisi imara za kisheria na kikatiba

    Mh. Rais pole na majukumu na pole kwa kazi kubwa unayoifanya iliyo ngumu na nzito ya kuliletea taifa hili maendeleo. Mh nimekusikia ukilalamika kwa kazi nzito unayokumbana nayo kama kiongozi wa nchi. Naomba kutumia uelewa wangu kwenye masuala ya utawala na sheria kukushauri jambo ili uache...
  15. M

    Kesi ya Zombe na Kauli ya Rais: Tusisahau wafanyabiashara wa wahenge

    Mh. Rais kauli yako kuhusu majambazi tumeisikia, lakini Mh. Ningependa kukumbusha kuhusu wafanyabiashara wa mahenge waliosemekana majambazi wakapigwa risasi na kuuwawa. Naamini kipindi hicho ulikuwa waziri wa ujenzi na hawa wafanyabiashara walikuwa wamekuja Dar es Salaam wakiwa na madini yao...
  16. M

    Mshauri wa Rais kutoka mtaani: JPM zingatia haya utatufikisha mbali

    Shikamoo Rais Wangu Mpendwa, Nimejipa cheo kisicho rasmi kama mshauri wako na kama mpiga kura wako niliekaa kwa zaidi ya masaa 5 nasubiri kukupigia kura na wajibu na haki ya kukushauri. Kawasifu kangu sio kamaana sana lakini nimepata bahati ya kusoma sayansi ya siasa udsm so i would confidently...
  17. M

    Kuelekea 2020! Je ni makundi ya kisiasa yenye maslahi au wananchi waliomchoka JPM?

    Nimekaa nikitafakari mwelekeo wa siasa ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu 2020, bila shaka kuna kundi au makundi ndani na nje ya ccm yakitaka JPM asiendee tena baada ya 2020, tuhuma na kurushiana maneno kupitia mitandao ya kijamaii na magazeti ikiwamo gazeti la "Tanzanite " lililoshusha tuhuma...
  18. M

    Rais Magufuli niteuwe nikusaidie kukata miti

    Mh. Rais naamini hizi taarifa zitakufikia sehemu yoyote ile ulipo. Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu number moja hapa Tanzania mwenye shahada ya uzamili na ninaamini binafsi ni uwezo mkubwa wa kulitumikia taifa langu. Nimeona kwenye ziara yako Mkoani mara ukilalamika kuwa na viongozi wasiochukuwa...
  19. M

    Je, ujenzi holela mijini ni kipimo cha akili ya Mwafrika?

    Nimebaharika kufika baadhi ya miji mbalimbali duniani, ikiwamo baadhi ya miji africa na Tanzania karibu yote! Kitu nachoona ni tofauti kabisa na sisi, ni jinsi wenzetu wanavyothamini suala zima la makazi, Ukiangalia makazi yetu hasa kwenye miji mikubwa kama vile Dar es salaam, Mwanza, Mbeya etc...
  20. M

    Tatizo la maji katika baadhi ya maeneo ya jiji la Mwanza ni aibu kwa Mwauwasa!

    Jiji la Mwanza limebarikiwa kuwa na chazo kikuu cha maji, Ziwa Victoria, baadhi ya mikoa ya jirani kama Shinyanga na Tabora yanapata maji kutoka ziwa victoria lakini inashangaza maeneo ya jiji kama vile kiseke, Buswelu, Mahina, Nyamongoro etc, yamekuwa yakipata maji kwa mgao kwa muda mrefu huku...
Back
Top Bottom