Asalamalakum,
Nchi yetu imebarikiwa kuwa na resources nyingi sana ikiwemo dhahabu, gas, ardhi, strategic location na amani, hivi ni vitu muhimu sana kwa watu wanaotaka kujiendeleza kiuchumi, unfortunately kumekuwa na "scandals" kadhaa za wanasiasa kuuza rasilimali za taifa kwa wawekezaji bila...
Habari wana bodi, nimekuwa nikisoma baadhi ya articles zinazo ongelea mchango wa vyuo vikuu marekani katika uchumi wa taifa hilo especially kutengeneza innovators "silicon valley".
Kwa kiasi kikubwa maendeleo ya taifa la marekani yamechangiwa sana na innovations zinazofanywa na taasisi zake za...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri. Nimekuwa nikifuatilia kauli mbalimbali zinazotolewa na baadhi ya wanasiasa dhidi ya hayati Magufuli. Ni wazi kabisa kuna chuki kubwa dhibi yake. Na ukichunguza kwa undani zaidi utaona wanataka kupandikiza hiyo chuki hata kwa wananchi wa kawaida.
Ukweli ni kwamba...
Ukifuatilia historia ya bara la Afrika, kwa kiasi kikubwa lipo hapa kwa kukosa viongozi wenye maono ya kutoa watu wao kwenye umasikini. Mbaya zaidi viongozi wengi hawana uzalendo.
Historia ni ndefu sana, kwa waliosoma historia wanajua jinsi gani waafrika waliweza kuuza watu wao utumwa kirahisi...
Nianze moja kwa moja kutoa maoni yangu kwa hali ya kisiasa nayoiona. Kifo cha Rais Magufuli kimeacha pengo kubwa sana kwenye taifa. Kwa wale wasiopenda kusikia jina la magufuli niseme tu, Hayati alikuwa na wafuasi wengi kifo chake kimedhihirisha hivyo na atakumbukwa siku zote kwa mambo mazuri...
Mh. Speaker, ningependa kufikisha ujumbe huu kwa ufupi sana. Nimeamua kuandika baada ya kukusikia kwa mara ya pili ukiongelea ugumu wa ajira kwa vijana.
Sitaki kujikita sana kwa wajibu wa serikali duniani kote kutengeneza ajira na kuhakikisha sekta binafsi inakuwa kwa kasi ili kutoa fursa za...
Ni swali na wale wenye uelewa mpana naomba msaada. Nimejaribu kusoma various articles kuhusu hawa samaki wawili, Salmon anayepatikani baharini na Nile perch yupo ana high concentration ya Omega 3 fatty acids? Kuna wengine wana sema salmon kuna wengine wana sema Nile perch.
Kwa wale wenye uelewa...
Kwa muda sasa tangu serikali ya awamu ya Tano ilipoingia madarakani, kumekuwa matumizi ya lugha ambayo inaakisi uelewa mdogo wa diplomasia ya kimataifa na diplomasia ya kiuchumi ukilingamisha na utawala wa Mzee Jakaya.
Viongozi mbalimbali wa chama na serikali wamekuwa wakitumia maneno yasiyofaa...
Serikali na kampuni ya barrick wameunda kampuni inayoitwa TWIGA ambayo ni ya ubia kati ya hizo pande mbili. Ushauri wangu kampuni ya TWIGA badala ya kukodi jengo LA kufanyia shughuli zao, ingekuwa vyema wangejenga jengo la kudumu na kuliita MADINI House kama kumbukumbu ya makubaliano hayo!
Hili ni kwa serikali na watunga Sera wa Taifa hili. Kuna tafiti moja nilikuwa nasoma imefanywa na Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, nimeshangaa kuona hili tatizo lilipofikia. Sio kwamba nilikuwa sijui bali tatizo ni kubwa na vijana waliohitimu vyuo vya elimu ya juu kwa maelfu hawana...
Leo ningependa kugusia a very dominant premise ya wanasiasa wetu, "Tuzaliane tuongezeke ili uchumi wetu ukue, au tukuze uchumi" kwa ufupi they believe there's a strong correlation between population increase/growth and economic development/growth.
Binafsi siamini suala kuongeza idadi ya watu...
Kati ya taasisi za serikali inayonishangaza katika utendaji wake ni uhamiaji. Especially linapokuja suala la international passport, acheni bureaucracy.
Jana nilienda na rafiki yangu ambayo wote tulikuwa na sababu zetu, mmoja akitaka kurenew passport apate ya electronic, mwingine ndio anataka...
Mh. Rais, serikali yako imetenga mabillion ya pesa kwa ujenzi wa stendi za mabasi katika maeneo ya Nyamhongoro na Nyegezi jijini Mwanza, hili ni jambo zuri la kupongezwa katika juhudi za kuboresha miundombinu ya miji yetu,
Mh Rais najua unalifahamu vizuri jiji la mwanza ndio maana naandika haya...
Mh. Rais pole na majukumu na pole kwa kazi kubwa unayoifanya iliyo ngumu na nzito ya kuliletea taifa hili maendeleo. Mh nimekusikia ukilalamika kwa kazi nzito unayokumbana nayo kama kiongozi wa nchi.
Naomba kutumia uelewa wangu kwenye masuala ya utawala na sheria kukushauri jambo ili uache...
Mh. Rais kauli yako kuhusu majambazi tumeisikia, lakini Mh. Ningependa kukumbusha kuhusu wafanyabiashara wa mahenge waliosemekana majambazi wakapigwa risasi na kuuwawa.
Naamini kipindi hicho ulikuwa waziri wa ujenzi na hawa wafanyabiashara walikuwa wamekuja Dar es Salaam wakiwa na madini yao...
Shikamoo Rais Wangu Mpendwa,
Nimejipa cheo kisicho rasmi kama mshauri wako na kama mpiga kura wako niliekaa kwa zaidi ya masaa 5 nasubiri kukupigia kura na wajibu na haki ya kukushauri. Kawasifu kangu sio kamaana sana lakini nimepata bahati ya kusoma sayansi ya siasa udsm so i would confidently...
Nimekaa nikitafakari mwelekeo wa siasa ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu 2020, bila shaka kuna kundi au makundi ndani na nje ya ccm yakitaka JPM asiendee tena baada ya 2020, tuhuma na kurushiana maneno kupitia mitandao ya kijamaii na magazeti ikiwamo gazeti la "Tanzanite " lililoshusha tuhuma...
Mh. Rais naamini hizi taarifa zitakufikia sehemu yoyote ile ulipo. Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu number moja hapa Tanzania mwenye shahada ya uzamili na ninaamini binafsi ni uwezo mkubwa wa kulitumikia taifa langu.
Nimeona kwenye ziara yako Mkoani mara ukilalamika kuwa na viongozi wasiochukuwa...
Nimebaharika kufika baadhi ya miji mbalimbali duniani, ikiwamo baadhi ya miji africa na Tanzania karibu yote! Kitu nachoona ni tofauti kabisa na sisi, ni jinsi wenzetu wanavyothamini suala zima la makazi,
Ukiangalia makazi yetu hasa kwenye miji mikubwa kama vile Dar es salaam, Mwanza, Mbeya etc...
Jiji la Mwanza limebarikiwa kuwa na chazo kikuu cha maji, Ziwa Victoria, baadhi ya mikoa ya jirani kama Shinyanga na Tabora yanapata maji kutoka ziwa victoria lakini inashangaza maeneo ya jiji kama vile kiseke, Buswelu, Mahina, Nyamongoro etc, yamekuwa yakipata maji kwa mgao kwa muda mrefu huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.