Nanyie vjana Wa kiislamu mmbadilike ukweli muuone wenyewe hakuna uhusiano kati ya serikali na ukristo.hapa sio Vatican.sijui MNA matope gani kchwani mpigwe na serikali mlipize kwa wakristo.wallahi kama Luna mungu wenu Wa hivi naana waambia nihaki Mimi Siku ya kiama naanipige mateso...
Nyie mnamatatzo sana kwanini yakitokea mauaji mnaunga mkono?unaongelea central afrika nani walio anzsha kuwaua wenzao Islamic or Christian?mnakaa MNA lalamika lalamika tuu ooo serikali inapendelea wapi kuna mitihani ya kicristo na kiislamu Hamna lolote nyie ukweli dini inamafundisho ya kigaidi...
Kwahyo una shauri nin?kwahyo Hugo mwanafunz kakosa ajila? poor thinking.ongelea Tatzo lililop hapa sio kuchengesha ukweli Wa mambo mbona ukristo hatuna magaid always Islamic wao ndo wanao baguliwa na serikali au? Hii sio Dino ya mwenyez mungu kamwe.
Tabola,shnyanga,kahama hali kazalika katavi kwa sasa debe la mahind ni Tsh7000 tofauti na misimu ilyo pita kwani nimapema sana kutokea halo hii naukiangalia ndo mikoa inayo toa nafaka kwa wingi.
Wanajamvi naleta mada hii kwenu kulingana na hali yamvua baadhi ya Maeneo mengi kutokuwapo na mvua ya kukidhi.
Binafsi nimepita maeneo mengi nakujionea jinsi mazao yalivyonyauka.
Karibuni kuchangia nini chakufanya kulingana na hii hali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.