Dereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu sababu gari ni express kama ilivyoandikwa simama manzese kama ilivyo taratibu
Dereva akasimama na...
Ndio maana madem wengi wakimaliza chuo tu wakipata bwana wanang'ang'ania uwapangie au wahamie kwako huku nnapoishi nashuhudia sio po
Huwa hawapendi kurudi mikoani kabisaaa
1. Mtu yoyote ambae anatumia whatsap na kaondoa Blue tick, unapofanya Biashara na mtu kama huyu uwe makini sana kama humfaham hata hela usitume, mara nyingi watu wanaotumia mfumo huu huwa ni watata hata hela usije jaribu kumkopesha.
2. Mtu alieset whatsap yake kwa mfumo wa disappearing message...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.