Ukweli lazima usemwe Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Tukirudi nyuma wakati mama yetu anaingia bila shaka alianza vizuri sana ila alianza kwenda mrama baada ya kuingizwa kingi kwenye tukio la kubumba la kesi ya ugaidi dhidi ya Mh Freeman Mbowe. Kama hiyo haitoshi akazid boronga baada ya...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu leo Mei 10, 2022 jijini Dodoma amekutana na wataalamu wa Ala za Muziki ambao wanapitia Wimbo wa Taifa, Wimbo wa Uzalendo na Wimbo wa Afrika Mashariki kwa ajili ya kubaini makosa yanayofanyika wakati wa uimbaji na hatimaye...
CHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukua ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa.
Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa.
Chanzo: Darmpya
CHATO! CHATO! CHATO!
Tundu AM Lissu, MB
Tienen, Ubelgiji
Chato imetamalaki kwenye vichwa vya habari vya magazeti mengi ya Tanzania katika siku za karibuni. Chato imetawala mijadala katika mitandao ya kijamii ya Tanzania. Chato imo midomoni mwa watu wengi wanaofuatilia siasa za Tanzania na hata...
Mbunge CCM Babu Tale amekiri kuwa yeye huwa anavaa Underwear japo hawez kufua. Hii ndio dizaini ya wabunge wa CCM tulionao huku tukitegemea ndio watutungie sheria kwa uzwazwa huu
Mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliokuwa ufanyike tarehe 16/6/2019 umefutwa na jeshi la polisi kwa sababu za kiusalama. Huku mkutano wa CCM unaofanyika leo Morogoro ukiruhusiwa
Kwa hali ya kisiasa ilipofikia Mbowe hatakiwi kuwa mpole inabidi afanye kitu ili nao CCM wajifunze kuwa Wapinzani sio...
Wanamageuzi waliochoshwa na mateso na chuki za serikali ya awamu ya tano mnakaribishwa
NAONA KAMANDA MBOWE KAAMUA
na ikumbukwe CCM ndio walikuwa wa kwanza kutangaza kufanya kampeni
Ukweli usiopingika ndio huo na kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa kombe hili basi utakubaliana nami kwani UJERUMANI na Mexico wamekamilika kila idara sasa Mexico na Portugal wajiandae kufungasha mabegi
SEMI FINAL
Mexico vs Germany
Portugal vs CHILE
Endapo Ureno angepangiwa UJERUMANI...
Leo ni draw ya kombe la UEFA Champions league na UEFA Europa league hatua ya robo fainali. Draw inafanyika mchana huu saa nane mchana (2:00pm)
Ratiba ya UEFA mechi zijazo ni kama ifuatavyo:
Quarter-finals: 11/12 + 18/19 April
1st leg
Tuesday (11 April)
Borrusia Dortmund - AS Monaco
Juventus...
Ukijaliwa kuwa msichana mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila mwanaume, kuna wanaume na akili zao kichwani, urembo wako hauwasumbui, kama bichwa lako ni kanyaboya, uzuri wako hausaidii kitu na utashangaa no one is paying attention, watu utakaowapata ni walewale kanyaboya wenzako na hawana...
Hawa WANAWAKE na hivi vipodozi vyao vya kujichubua usoni tu
Dada mmoja Leo kapanda kwenye daladala kujichubua usoni kawa mweupee alafu mikono mieusi tii. Basi kuna muda aliingiza mkono mfukoni atoe simu yake watu wakapiga kelele we Dada unaibiwa simu yako mfukoni kumbe ni ule mkono wake...
Nimeikumbuka Ile movie ya Jack Chain "THE DRUNKEN MASTER" kiukweli nimeimiss sana na bahati mbaya sinayo.... Nimejaribu kuiGoogle lakini kila nikiandika THE DRUNKEN MASTER Google inanisahihisha na kusema DID YOU MEAN THE DRUNKEN MINISTER? mwenye nayo tafadhali anisaidie..
[emoji120] [emoji120]
Leo ndio leo Mtoto hatumwi sokoni katika jiji la BASEL
mida ya saa 3:45 Usiku
Liverpool vs Sevilla
Europa League Final
Niko nawe kukuletea Update
KIUFUP:
Liverpool ni ya 8 katika EPL na inahitaji ushindi kwani utawapeleka mojakwamoja UEFA msimu ujao
huku Sevilla wakiwa ni wa 7...
MAMBO YA KUJARIBU JARIBU OVYO. Jamaa kanunua kifaa cha kukamulia ng'ombe maziwa, alipofika kwake akasema ngoja nikijaribu,
Akakivaa kwenye UUME
Akawasha kikawa kinamtekenya mpaka akamwaga shahawa,
Sasa anaangalia pakuzimia hapaoni, akaona namba ya kampuni akapiga cm akawauliza nizime wapi...
Hapa utapata vichekesho vya mkude simba kwa kadiri nitakavyokuwa navipata sio mbaya kama nawe unavyo tukashare pamoja
*********UPDATE******
VICHEKESHO VILIVYOONGEZWA NI VITATU VYA CHINI (kuanzia mkude malaika hadi kizibo)
hii imetokana na jamii forum kutoruhusu zaidi ya file 20 hvyo tutakuwa...
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize...
Kaka, mbona u mnyonge hivyo?"
Jamaa : 'aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bado unasema Kiswahili ni lugha nyepesi eti kwa
kuwa tunaelewana tu!!!? Tazama.......
KIINGEREZA------KISWAHILI
Device-------------Kitumi
Photocopier------Kinukuzi...
Duplicating Machine --Kirudufu
Resistor-----------kikinzani
Power Saw-------Msumeno oto
Sensor-----------Kisimbuzi
Lap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.