Mnapoanza kususia inaleta shida kwa wazalendo. Haipendezi na haitaki kususa. Waswahili, "susia nguruwe utakuta kala muhogo, jaribu kukaza na kulegeza hizo nyonga.
Mwisho wa Sikh hawo majuha na wewe na hao wanaofikiri wataishi milele watafikia mwisho wao.
Playy your part...usiachie majuha na...
Wangekuwa wanayafanyia service lkn hayana hiyo..hawayasamini magar yao.
Fikiria kondakta anakimbia na nauli za abiria...kisa apange asikose kabisa. Sasa anatesa abria na waginjwa na wasafiri wa mikoa ya mbali.
Bagamoyo DSM ni barabara ya mkoa inayostahili magari bora na si bora magari...
Jose umewahi nafasi yako..uko vzr
Madereva wanahujumu sana maisha yetu.
Bagamoyo DSM siyo njia ya kuipa magari mabovu . kwanza inalipa sana....safari moja si chini ya 100000 kwa mini abiria wasitendewe ihisani
Moja kwa moja niende kaende kaenye point
Mabasi asilimia zaidi ya 90 ni chakavu, yanalazimishwa kutembea barabara ya bagamoyo dsm msata.
Nasikitika sana barabara inatengenezwa na kodi tunalipa iweje madereva na makondakta wanachuma pesa kwa magari mabovu yasiyofaa kutumika.
Njoo uone...
Kama hamjui in ujinga kutojua mini kinamaliza Nguvu
Jamaa ana onekana ana drive, hana mazoezi lishe sio, kula vitu vyenye protein uone. Piga mazoezi uone, zoezilihusishe miguu,kiuno mapaja, then kifua..
Halafu rudi hapa unipe mrejesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.