TAIFA la Tanzania halina dini ila wananchi wanazo dini zao na Imani zao isipokuwa zisivunje Sheria za nchi.
Hata hivyo kwa makusudi wamekuwepo Watu ambao wanazishambulia Imani za watu wengine kwa lugha mbaya za udhalilishaji na waziwazi lakini Wana angalia tu
Kuna wanaitwa, maaskofu...
Mtu yeyote anaweza kupata fursa nzuri na maendeleo. Zipo familia zilizo bahatika kuishi katika utajiri mkubwa.
Hiyo ni fursa ambayo wamejariwa. Changamoto ni kwamba wapo wanao amini kuwa umaskini walionao umesababishwa na matajiri waliopo.
Ndipo Watu hawa huwa na chuki dhidi ya matajiri. Na...
Maradhi, magonjwa yasiyo patiwa ufumbuzi wa haraka,huleta madhara makubwa hata kepelekea kifo.
Unaweza kuepuka madhara hayo,
Kwa kupata watalaam wazuri wa afya,
Wenye vifaa vyenye uwezo mkubwa Katika kuchunguza na kubaini vyanzo vya Maradhi, magonjwa yanayo kusumbua mara kwa mara.
Wanapo...
Kinacho changia wanawake wengi kuwa katika mahusiano bila ndoa ni tofauti iliyopo katika fikra ya mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika mahusiano. Mfano mwanamke aingiapo katika mahusiano na mwanaume,mwanamke hufikiri kuwa hiyo ni hatua ya kwanza kuelekea ndoa,kitu ambacho kwa mwanaume...
Siku moja Kaka mmoja wa kimasai ,katika harakati zake za kutembeza mikanda ili kuiuza,
Alikutana na mteja, akawa akimwonyesha hiyo mikanda bila kuweka chini bidhaa zake,
Akaja mgambo akamkamata,
Kijana akahoji kosa lake ni nini?
Mgambo aka endelea kung'ang'ania zile bidhaa bila maelezo...
Sumbawanga ni tofauti,
Wanapenda wageni
Ni wapole
Ni wakarimu
Hawana roho ya kwanini
Sio wachokozi
Hawana mambo ya kurogana rogana hovyo japo uchawi wanaujua vizuri
Walio bahatika kumjua MUNGU wana msimamo katika imani ya dini
Ila kama wewe ni mchokozi,mkorofi sumbawanga haikufai
Watu...
Nimekuwa nikishuhudiwa kuhusu mafanikio makubwa,
Waliyopata,
Kutokana na huu mfumo wa kifedha,maarufu kama VICOBA
Lakini hata hivyo,
Wengine mfumo huu umesababisha maumivu makali kwao,
Na kuwaacha wakilia,
Mfano,
nimekuwa nikipata taarifa toka kwa watu wangu wa karibu,
ambao...
Nimekuwa mpenzi wa kutumia usafiri wa basi la Shabiby mimi na familia yangu kwa miaka zaidi ya mitano
Dar, Dodoma, Dodoma Arusha.
Ila leo kwa yaliyo nikuta kupitia dereva huyu, imeniuma sana
Tulikata tiketi siti namba 4 kwa ajili ya mke wangu kusafiri toka Arusha kuelekea Dodoma ni katika...
Sasa hivi katika mitandao ya kijamii
Kuna kundi ambalo linaweka mijadala mingi ya kumlinganisha Raisi huyu utendaji wa Marehemu Magufuli
Hili kundi linaongozwa na Veronica France
Ni kama kundi hili lipo kinyume,halijaridhika kuona Samia Suluhu akiwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
1. Fanya biashara unayo ielewa vizuri zaidi, usiige tu kwa kuona mwingine anafanikiwa. Hakikisha wewe mwenyewe una ujuzi nayo.
2. Hakikisha umeyasoma mahitaji ya wateja wako watarajiwa. Hakikisha umeyaelewa kiundani zaidi mahitaji yao na unaweza kuwatimizia ipasavyo.
3. Amua kujenga mahusiano...
Habari wadau wa jamiiforums
Habari zenu,
Naomba kujuzwa
Kama umewahi kutumia unga wa ndizi kitarasa.
Napenda kuomba kujua ulikusaidiaje kiafya?
Au una uonaje?
Tafadhali wadau nisaidieni.
Tafadhali naomba unijuze
Ili kupona ulitumia mimea ipi
Kwa kiasi kipi
Na matokeo ya kupona hilo tatizo yalitokea ndani ya siku ngapi?
Na huo mmea unapatikana mkoa upi,wilaya ipi,au maeneo yepi?
Hii mimea kwa kiingereza
1.Unaitwa -chamomile
2.Unaitwa-nutmeg
nimejaribu kutafuta maana yake kwa kiswahili mpaka sasa sijafanikiwa.
Tafadhali yeyote unaye fahamu jina la mimea hii kwa kiswahili,nakuomba unisaidie hapa tafadhali.
Mimi ni mjasiliamali mdogo mdogo,nayajua maumivu tunayo yapitia sisi wajasilia mali wadogo.Natambua uwepo wa wafanya biashara weye mitaji mikubwa ambao wamejigeuza kuwa machinga kwa lengo la kukwepa ulipaji kodi.
Hata hivyo wapo wengi ambo ni machinga halisi,pia wapo pia ambao hapo awali...
Wakati wa mabadiliko ya mfumo wa BRELA wa usajili online mahali pa vitambulisho,mnataka kitambulisho cha taifa,wengine havija toka bado,nimeenda NIDA nikapewa namba ya kitambulisho changu cha taifa. Changamoto,kila nikiweka namba majina hayaji,nawapigia BRELA wanasema nilirudi tena NIDA sasa...
Nakumbuka nikiwa Dar es Salaam, maeneo ya karakata jirani na uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere, chumba nilicho kuwa naishi kilikuwa na utitiri wa mbu ambao walikuwa wana shambulia sana, umekaa popote hawakuachi mpaka wakudunge sindano yao.
Siku moja nikapita Kariakoo nikakuta kuna mashine...
Brella mmetutangazia mfumo mpya wa usajili, sisi ambao tulijisajili tumetakiwa kuweka kwa upya taarifa zetu,.
Wengine wetu hasa mimi binafsi niliweka namba ya leseni yangu ya udereva hapo awali, sasa napoenda kujaza upya taarifa zangu nadaiwa Kitambulisho cha Taifa ambacho wengi wetu hatuja...
1.Mfumo wa kutokupeda kujifunza,sio wengi wetu wanao penda kujifunza wengi wetu tunapeda kufanya mambo bila hata kufikiria namna ya kupata maarifa ya kutosha kuhusiana nalo.
Tanzania tunayo Bahati kubwa vijana wetu wengi ambao wamepitia taarifa mbalimbali na kujisomea vitabu vya ujasilia mali...
NATAFUTA RAFIKI WA KIKE MCHAMUNGU MRISTO ANAYEPENDA KUJIFUNZA BIBLIA,UJASILIA MALI,IBADA NA MAOMBI ILI TUBADILISHANE MAWAZO YA KIMAISHA KWA MAWASILIANO 0686081871
BRENDA INAYO SAGA,BRENDA INAYO SAGA,BRENDA IMARA YENYE UWEZO WA KUSAGA VIUNGO VIKAVU KAMA TANGAWIZI KAHAWA NINA HITAJI KUAZIMWA KWA MAKUBALIANO YA MALIPO MAALUM KAMA KWA KILA WIKI AU KILA MWEZI,KUNA BIDHAA NINATAKA KUTENGENEZEA KWA SABABU NDIO NAANZA MRADI NADHANI MWENYE MOYO WA KUNIWEZESHA KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.