Nimekaa na kutafakari na hadi muda huu sijapata jibu sahihi. Baada tu ya mwenyekiti wa CHADEMA kutangaza maandamano th 24/01/2024, Ni kiongozi wa ngazi ya mkoa (mkuu wa mkoa) anaamuru vikosi vya ulinzi kufanya usafi siku hiyo. Je nani ni amri jeshi wa nchi hii?.
Kumbe shida siyo katiba tu bali...
Fikiria kuna ligi ina timu 14 pia bodi ya ligi imeteua waamuzi toka timu 1. Kamati ya rufaa pia wajumbe wake wanatokana na timu 1. Lakini pia rais wa shirikisho na viongozi wa chama cha mpira cha nchi hiyo wote wanatokana na timu 1.
Sasa kunapokuwa musimu wa ligi unakaribia kuanza bodi ya...
Nawahakikishia kuwa cheo cha Afisa Mtendaji Kata siyo kidogo, ninyi ni wawakilishi wangu na nawahakikishieni tembeeni vifua mbele na kamwe asitokee mtu wa kuwanyanyasa huko mliko.
Nimewaita tusalimiane, tujadiliane namna bora ya kutimiza wajibu wenu katika maeneo yenu mnakotoka, sina hakika...
Kama kuna kitu chama kushangaa, ni hili pia. Leo majira ya saa nne asubuhi th 02-11-2019 ndege yetu toka mwanza imeshidwa kutua katika uwanja wa ndege wa BUKOBA kutokana na uwepo wa mvua nyingi.
Lakini sababu kuu ni kuwa uwanja wa ndege Bukoba hauna taa. Kwa sababu hiyo, panapokuwa na mvua au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.