Nachingwea kuna dhahabu miaka mingi wenyeji walikuwa wanachimba kienyeji wakakatazwa na serikali na maeneo yenye dhahabu yakawa yanalindwa na jeshi la wananchi
Kwa miaka hii ni ngumu kumpa lifti mtu usiye mjua hata kama anasoma shule ya awali hali imebadilika sana hata wazazi wanaweza kukuletea kesi usiyo ijua ukajuta
Wale wapo nje kwa dhamana alafu sio majambazi ni vibaka na huyo mzungu hakutoka bank alipanda kama tax na walimpora elfu 75 shilingi za tanzania na hawakuwa nabunduki ndio maana wamepata dhamana kirahisi na tukio walifanya mwananyamala na walikuwa wanarudi posta kuchukua abiria tena hivyo wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.