Naona huko ni mbali sana ebu fanyeni hayo maandamano yenu hata kesho alafu mtakipata mnacho kitaka .maana najua utamu wa virungu ukipigwa kwenye ugoko.
Mateves kunajamaa anauza kiwanja na anazaidi ya ekari 2 kabla hujafika national housing ni pazuri sana na anauza bei ya 9m kwa 20/20 kutoka barabara kubwa ni km2 na kutoka barabara mpya ya east africa ni mt 300 .kama utahitaji tuwasiliane 0759547047
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.