Kombani anachojali ni mkono wake unaenda kinywani. kwake yeye wanaodai katiba mpya should go to hell! Makamba is an outdated human remnant. Hawezi kuwa na jipya na sijui kwa nini chama kama ccm wanaweza kuvumilia kuwa na katibu mhafidhina kama yule katika ulimwengu wa kisasa. aibu!!!!
What a sweeping statement! "Wananchi walio wengi" is very subjective - wawili, watatu, kumi, 100, 1000, milioni? Usijindanganye ndugu fanya kazi uendeleze familia yako badala ya kuishi kwa matumaini.
HAMADI unachosema ni unafiki tu. Serikali ya mseto ni matokeo ya tamaa ya madaraka. waliopo madarakani hawapo tayari kuondoka hata kama wameshindwa kwenye uchaguzi na wapinzani nao hawako tayari kushindwa hata kama wameshindwa kweli. Matokeo yake mnaamua kugawana ulaji kwa kisingizio cha matakwa...
Hii ndiyo Bongoland! Tunachakachua kila kitu including URAIS, sembuse UWAZIRI? Matokeo yake ni haya: Tanzania haiwezi ku-excel kwa kila kitu:
Kiuchumi ni maskini
kisiasa kila mtu anajua
kimichezo kichwa cha mwenda wazimu
kielimu mambo mnayaona
Kilimo sema wewe
madini Mungu anajua
Kila kitu BORA...
Huyo mwandishi amesoma shule ya kata. Hiyo style ya uandishi haina INSPIRATION ya roho mtakatifu. Aliyeandika ni mtu wa dini nyingine mwenye kiu ya kunywa damu ya binadamu wengine. Bahati nzuri Mungu ni mwaminifu hawezi kubariki ujinga kama ule.
Tatizo ccm wanategemea alama za nyota za SHEKHE Y.H! watasubiri atabiri kitakachotokea ili nao wafanye uamuzi. By the way shekhe hajasikika tena baada ya utabiri wa kifo cha mgombea maarufu wa urais kutotimia, au aliprovide majini ya kuzuia kifo hicho?
Wabunge wa CCM wakifanya hivyo watakuwa wamejiandalia kaburi lao 2015. Kura nyingi za "huruma" watapewa wagombea wa CHADEMA. Nawashauri viongozi wa CHADEMA kuanza operation mpya (name it) ya kuhamasisha vijana wajiandikishe kwa wingi kwa ajili ya kupiga kura 2015. Ukombozi wa nchi upo mikononi...
Makwaia, ni ushauri mzuri kwa KIKWETE lakini hiyo ni "wash-out". Tatizo la Makwaia ni Mdini sana. Hizo kampeni za udini zimefanywa kule anakoswali lakini atalaumu waraka wa TEC peke yake! Very unfortunate
INANIPA SHIDA KUFIKIRIA JUU YA NANI ATAKAYELIKOMBOA TAIFA KWA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI KAMA ccm IMECHAKACHUA HATA "WASOMI" WASIWEZE KUWA NA UPEMBUZI YAKINIFU. WAALIMU WAO WA DEVELOPMENT STUDIES NA POLTICAL SCIENCE NAO WAMECHAKACHULIWA?
KIKWETE alitafuta mlango wa kutokea baada ya kuelemewa na hoja za wapinzani waliokuwa wakimbana aeleze yako wapi maisha bora kwa kila Mtanzania. Akaamua kupoteza lengo. Hata hivyo awashukuru viongozi wa KIKRISTO waliompigia ndogo ndogo kwa kusema yeye ni CHAGUO la MUNGU. Hawezi kuwasahau kina...
Hawa wamesoma shule za CCM za kata. Wasomi halisi wangedai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Waulize akina Samwel sitta waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam enzi hizo walivyokuwa Revolutionary kwenye kiwanja cha Revolutionary Square! Wanaojiita wasomi hawana ubavu wakuhoji rushwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.