Kandoro mwenyewe kavaa gwanda kwa kuwa anajua Mbeya hawadanganyiki ni wanamageuzi wa ukweli.
Kinana na Nape wanafanya tu mchezo wa kuigiza, mara wapande baiskeli, mara wapande bajaj, mara wale wali maharage, wale chai na vitumbua wamekaa chini, wabebe vitofali na kulima na jembe la mkono, yooote...
Huyu Gwanchele anafurahisha sana ukisoma hapo kwenye red unaweza kuona ni jinsi gani alivyo mbabaishaji, anaongelea umoja ambao yeye mwenyewe kwenye paragraph ya kwanza anakiri ya kwamba ndio umeanzishwa.
Anawataja waasisi wa chadema kanda ya ziwa akiwemo Zitto, anadai wameonewa sana ndio maana...
Na anapojaribu kulinganisha kura za kigoma na kaskazini anataka ku justify nini?
Kama yeye ni maarufu sana na kigoma walimpigia kura doctor slaa kwa ajili yake, basi akaanzishe chama chake si ana uhakika na kura za kigoma.
Umaarufu ulimvimbisha kichwa akasahau kuwa yeye sio maarufu zaidi ya...
Msigwa is absolutely right, chadema itabaki kuwa ni taasisi na hakuna mtu maarufu kuliko chadema kama yeye ni maarufu akaanzishe chama chake, after all uamuzi huu umechelewa sana
nina simu yangu ya blackberry Z10 sasa hivi sipati application ya whatssApp, inaniambia ni update software yake kwa kutumia wi-fi nimejaribu kufanya hivyo imegoma, msaada kama yupo mwenye idea yeyote
Urgent, nahitaji nyumba iwe 2 bedrooms, jiko na choo, iwe maeneo ya makongo juu, survey, mwenge, changanyikeni na mbezi tanki bovu, ikiwa na fence ni vizuri zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.