Search results

  1. K

    Pombe zinazouzwa kiholela mtaani na madukani zinawamaliza vijana, mamlaka chukueni hatua za haraka

    Ni kweli kabisa. Hapa Kimara Korogwe vibanda vinauza pombe kali pamoja na bia saa za usiku hadi mapema asubuhi. Yaani hiyo sheria ni kama haipo. Yote haya na uoza mwingine ni matokeo ya serikali mbovu ambayo imelala na inafanya kazi kwa mtindo wa "bora liende." Sidhani viongozi wanafahamu hata...
  2. K

    Freeman Mbowe kuona ni kuamini, achana na siasa za mkia wa mbuzi, jeuri na kiburi sio mtaji kuelekea uchaguzi 2024/2025

    Inasikitisha kusoma upuuzi kutoka kwa "msomi" wa UDASA. JIELEKEZE KWENYE HOJA ALIZOTOA MH. MBOWE.
  3. K

    Mkutano wa Chadema na Rais Samia: Mtu hakatai WITO hukataa anachoitiwa

    Mimi naunga mkono kila jitihada inayopelekea kuleta maelewano katika uwanja wa siasa. Itakuwa kosa kubwa Sana kwa CDM kutokutumia fursa ya kuleta maridhiana ya kitaifa kuhusu jinsi ya kuendesha siasa nchini. CCM ni chama sawa kabisa na CDM. Hakipaswi kunyimwa haki za kuendesha siasa kwa mujibu...
  4. K

    Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

    Uchumi magumashi wakati wote wa JPM. HUO NDIO UKWELI.
  5. K

    Nguvu kubwa inayotumika kupambana na CHADEMA haiwanyong'onyezi bali inawaimarisha

    Yanapungua kwa kura za kwenye mabegi na sio za wananchi. Kama CCM ni chama pendwa kwa nini hawataki Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya kama ilivyopendekezwa na Time ya Jaji Warioba.
  6. K

    Uharibifu wa barabara ya Morogoro

    Hapo ni Kimara, Korogwe. Hayo yalifanyika tarehe 27 February, 2021.
  7. K

    Uharibifu wa barabara ya Morogoro

    Tanroads na Mamlaka nyingine hebu zuieni wehu na uharibifu huu . Tuta la barabara hii muhimu linachongwa na vijana ili kujenga vibanda vya biashara. STOP THIS MADNESS FOR HEAVENS SAKE.
  8. K

    Kampuni ya Madini ya Montero kuishitaki Serikali ya Tanzania ikidai fidia kwa mradi wa Wigu Hill

    Should I sympathize with a government that disregards, not only international law, but even the laws that are promulgated by the very government, not to mention the Constitution of the country. THE ANSWER IS NO.
  9. K

    Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

    You cannot demonstrate in the face of a brutal police force. You cannot demonstrate in the face of a regime which brooks no democratic opposition. Grow up.
  10. K

    WHO: Maambukizi ya Tanzania yanaenea kwa sababu Serikali haifuati miongozo ya afya ya kimataifa

    I on my part see no govt strategy on fighting this pandemic. We, the public, are getting confused by a diversity of views from the same government. The Dar RC says one thing, the Mbeya RC says another, the President comes out with statements that contradict steps that have been taken. Then comes...
  11. K

    Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Tibaijuka aliaga Bunge kwa kilio

    Why single out Mbowe? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. K

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Let's get serious with combating Covid-19. The virus is spreading as can be deduced from government updates. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. K

    Hoja nzito: Sumaye asema CHADEMA badala ya kupambana na CCM kwa Hoja wao wanashindana na polisi ambao hawatawaweza

    johnthebaptist, Sumaye, hizi siasa watazifanya wapi wakati mikutano ya siasa hawaruhusiwi kufanya. Badala yake kesi mfululizo, na ukiukwaji wa sheria zinazo simamia siasa nchini. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. K

    DC Muro Matatani kwa kushusha Bendera za CHADEMA Arumeru

    Kama ni kweli huu ni ulevi wa madaraka. Na nimemsikia Jerry Muro akisema kwenye luninga eti Arumeru wao wanampango maalum kwa makosa fulani, mkosaji hapewi dhamana. Nikajiuliza sana hivi yeye ndio mahakama!
  15. K

    Askofu Bagonza: Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya

    Nampenda Baba Askofu Sent using Jamii Forums mobile app
  16. K

    Askofu Bagonza: Maajabu nchi maskini serikali inafokea wananchi, ila kwa nchi tajiri wananchi wanafokea serikali. Uchumi wa kati wanafokeana sie bado

    Amekwambia kwamba ametoa kwenye Biblia. We vipi? Askofu pia ni raia kama wewe na yuko huru kutoa mawazo yake. Isichanganye mambo wewe. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom