Mtoto wa aliyekua raisi wa Zambia Rupia Banda
anatafutwa na polisi nchini Kenya baada ya kutoroka nchini Afrika Kusini
kufuatia tuhuma zinazomkabili kuhusiana na matumizi mabaya ya fedha
wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita nchini Zambia,
polisi nchini Kenya wamethibitisha.
Source ...
wakuu naombeni ushauri
nilikua na msichana wangu (naweza kumwita mchumba) tulifikia hatua ya kutambulishana kwa
wazazi na kupata baraka zote, tulipanga kuanza taratibu za kupeleka mahari na katika kipindi cha zaidi ya miezi 7
hatukuwahi kufanya tendo la ndoa hadi mwanzoni mwa desemba 2011...
Habari wandugu, nilikua na mpenzi wangu kipindi cha nyuma miaka 8 iliyopita
kwa bahati mbaya tulitengana baada ya mimi kusafiri kwa muda wa kama miezi 6
kurudi nikapata tetesi kuwa anatembea na mshikaji wangu mtaa wa 2 ambae mimi ndie
niliemtambulisha,sikua na papara nilifanya uchunguzi...
Wakuu naombeni mnishauri
Naishi nyumba moja na dada mmoja ambaye nimetokea kumpenda (na sio kumtamana) sababu nataka kumuoa
tatizo nashindwa kumweleza jinsi moyo wangu ulivyomdondokea kutokana na historia yangu,siku za nyuma nilikua naingiza mademu mara kwa mara na anashuhudia ila kwa sasa...
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar...
hizo ahadi za uchaguzi mwaka huu ni epusha kombe mwanaharamu apite au inakuwaje? mbona simuelemu muheshimiwa sana.
kwa nini asiwe musitaharabu wa kuwaachia wengine mambo yanapokuwa magumu. sana sana kinachofuata ni aibu. sisi tunakaa pembeni tuepushe msong'omano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.