Search results

  1. sijui nini

    Looking for a friend only for chatting

    Breathe. Let go. And remind yourself that this very moment is the only one you know you have for sure.. If you are going through that then i am too.. Just looking for friend wa kubadilishashana mawazo about life experience .. Asiwe from nyanda za juu kusini because that's where I am from and am...
  2. sijui nini

    Kwa budget isiyozidi 600k kwa sasa ni simu gani inafaa zaidi

    Habari wadau.. Kama kichwa kinavyojieleza, tuajua technology inakwenda kasi na mambo yanabadilika sana. So ningependa kujua kwa range ya budget hiyo simu gani nzuri naweza nikapata maana nataka kununua simu soon. Asante.
  3. sijui nini

    Kwa wazoefu wa Tv.. Msaada juu ya skyworth smart tv

    MREJESHO: Kwa wale wazoefu wa smart tv, naomba ushauri juu ya hii tv.. Bei ni kama 800k. BRAND SkyWorthMODEL43S3A31T color black SCREEN SIZE43 Inch SCREEN type smart LEDHD technology full HD RESOLUTION1920 x 1080 SMART TV Yes CURVE TV No 3D TV No PRODUCT DIMENSIONS 975 x 649 x 214 (W x H x D...
  4. sijui nini

    Jiwe kubwa(Asteroid) kupita karibu na Dunia April 13, 2029

    Jiwe kubwa (asteroid) lililopewa jina la Apobhis kupita karibu na dunia(flyby) mwaka 2029. Jiwe hilo liligundulika na Wanasayansi wa anga mwaka 2004 likiwa na takribani mita 340 za Kipenyo na litapita karibu na dunia kiasi cha umbali wa Km 31,000 kutoka duniani. Ingawa Wanasayansi bado...
  5. sijui nini

    Hizi ndio sayari zinazoonekana kwa maco usiku wa leo.. 02.10.2018..look up..

    Unaweza kuziona kwa macho bila kiona mbali kama upo kwenye eneo lenye "clear sky"
  6. sijui nini

    Kwa watumiaji wa huduma ya Uber..

    Naomba kujua ni reliable kiasi gani... Sjawahi tumia hii kitu, nna safari ambayo ntajitahidi kuja kuchukuliwa na taxi kutoka kitunda hadi ubungo terminal asubuhi sana.. Je naweza kuiamini uber kwa maana ya ku request uber mapema asubuhi na ikafika kwa wakati maana nisije nikakaa nasubiri uber...
  7. sijui nini

    Look Up! Venus Snuggles Up to the Moon Tonight..

    kwa wale wapenzi wa night-sky watching...(in fact tangu mwezi umeanza kuna sayari kama tatu zinaonekana kwa macho ukiangalia angani kuanzia jua linapozama..Venus, Jupiter na Mars.. Venus is due for a date with the moon tonight, July 15, with the two bodies appearing to dance within half an inch...
  8. sijui nini

    Natafuta gamepad za pc

    Iwe ina support vibration, kwa dar sehem gan ya uhakika ntapata
  9. sijui nini

    Maduka ya lens Dar

    Natafuta lens za saiz mbalimbali kwa dar naweza pata maeneo gani?
  10. sijui nini

    Ifahamu vizuri Bombardier Q400 - Ndege mpya zilizonunuliwa na serikali

    Tangu ndege mpya mbili zilizonunuliwa na serikali yetu kutangazwa kumekuwa na watu wengi ambao wamekuwa wakiziponda ndege hizo wengi wao bila hata kujua ndege hizo ziko vipi. siko hapa kwa ajili ya kutetea upande gani ila nimeona ni vyema nilete uzi huu wa kuzieleze ndege hizi angalau kwa undani...
  11. sijui nini

    Hawa ndio wakeraji barabarani...!

    Nimeamini siku hizi barabarani wenye magari ni wengi kuliko madereva....Hizi tabia zina kera sana barabarani..kama na wewe huwa unafanya haya barabarani basi jua unakera wenzako: 1. Unakuta barabara ya njia(lanes) mbili halafu mtu anaendesha gari katikati ya hizo lane mbili afu unaenda...
  12. sijui nini

    See you Again!!!!!!

  13. sijui nini

    Fifa 15 PC game imetoka

    Haya tena kwa wale tuliojaaliwa uvumilivu mzigo umetoka..fifa 15 na crack yake...mi sijaijaribu bado ndo naidownload saiz kwa torrent.
  14. sijui nini

    International Space Station (ISS)

    Kwa wale wapenzi wa mambo ya kuchugulia angani..kupatwa kwa jua/mwezi, kuangalia nyota/satellite na mambo mengineyo angani najua watakuwa wanajua hii. Ila kwa wale wasiojua na wanapenda kujifunza : International Space Station (ISS) ni kituo cha utafiti kinachoelea angani (about 400KM above...
  15. sijui nini

    International Space Station (ISS)

    Kwa wale wapenzi wa mambo ya kuchugulia angani..kupatwa kwa jua/mwezi, kuangalia nyota/satellite na mambo mengineyo angani najua watakuwa wanajua hii. Ila kwa wale wasiojua na wanapenda kujifunza : International Space Station (ISS) ni kituo cha utafiti kinachoelea angani (about 400KM above...
  16. sijui nini

    Msaada Tatizo kwenye radio ya gari inadisplay "BE 04"

    Msaada wenu wanajamvi..haikubali cd wala radio ya kawaida..kuna mtu alichezea ikazima..kuwasha ndo hivyo..
  17. sijui nini

    FLIGHTGEAR SIMULATOR VIDEO: The landing of Ethiopian 767-300 at Arusha.

    Experience the soft landing of 767-300 at Arusha airport from KIA with Boeing 767-300 using flight gear.. http://youtu.be/hZsCthTBmE0 :plane: :israel: :plane:
  18. sijui nini

    Gazeti letu la Udaku JF.. (REBORN)

    KWA HISANI YA TANMO Kutokana na kwamba JF imeweza kuwa mtandao mkubwa ambao imetokea kuwepo hata Masupastaa wake nadhani ni muda mwafaka kwa wajasiriamali tukaanzisha Gazeti letu ambalo litakuwa linatoa habari kuhusu watu maarufu wa Jf, nina imani tutapata soko. hebu fikiria vichwa vya habari...
  19. sijui nini

    How to enable .NET Framework 3.5 on Windows 8 in Offline Mode

    Kwa wale wapenzi wa window 8 kuna hii kitu ya Net framework 3.5 huwa inaboa sana sometimes hasa ukiwa huna internet na unataka kuinstall kitu huwa inagoma..sasa kuna hii njia nimeikuta mahali, kwa wale waliokwisha ijua hewala na kwa wale waliokuwa hawajui wabebe.. ili nisipoteze mda naomba nii...
  20. sijui nini

    Adobe dreamweaver vs Adobe photoshop..

    Nna hizo software zote mbili dreamweaver cs6 na photoshop cs5. kuna ishu moja nataka kufanya ya kutengeneza kitu kama magazine hivi..kabla ya hapo nilikuwa nikitumia sana Fireworks kwa designing ya vitu vya kawaida, pia kitanbo kidogo nilishawahi kutumia sna photoshop nafkiri ilikuwa v2 au cs2...
Back
Top Bottom