MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema, atayakataa matokeo ya urais yatakayotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa kuwa kumefanyika wizi mkubwa wa kura.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Dk Slaa alisema, kama...
Jumapili, Oktoba 31, tunapokwenda kupiga kura kuwachagua rais, wabunge na madiwani tufanye hivyo kwa kuzingatia sheria kuu kumi zifuatazo:
Tambua kwamba kura ni silaha takatifu inayokuwezesha kumchagua Yule unayeamini kwamba unaweza kumkabidhi sehemu ya maisha yako na ukawa salama. Tumia...
mbona bado watu wako kwenye mbio za uraisi, jk kamaliza lini hizo mbio za uraisi? au ndio tayari kazoea kuitwa raisi basi kamaliza kwa kusema anaanza kuchagua wabunge
hebu tuacheni watu wasuport wanachopenda, kam mtu hapendi kula ugali ni lazima umlazimishe? jamani viongozi wa makampuni acheni wafanyakazi wafanye kazi na siasa ziacheni kam zilivyo
awe mwadilifu na upendo kwa watanzania na rasilimali zake.
apate uchungu anapoona watu wake wakilalamikia hali ngumu kimaisha.
sio kuwa shujaa wa kutoa ahadi zisizotekelezeka huku mtanzania akipata mlo mmoja kwa siku ama kwa siku mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.