Mimi sio Rais wangu kwa maana tangu anaingia madarakani sijawahi kumpigia kura.
Siwezi kumpa kura yangu mwizi na anayekubali wezi wenzie wazidi kuibia Watanzania.
Hafai kuwa Rais anafaa kuwa chekibobu na kukenua kenua tu.
Mwenye matatizo utamjua kati ya wote waliochangia ni wewe tu.
Utazoea wewe na familia yako sie tunamchukia kweli kweli.
Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Taarifa na takwimu uchaguzi wa Tanzania
Watanzania walipiga kura tarehe 31 Oktoba 2010. Uchaguzi huo ulikuwa muhimu kwa nchi hii hasa kwa kuwa chama tawala hakijawahi kutolewa madarakani tangu ilipopata uhuru mwaka...
Najisikia mwenye furaha na kupata burudani sana.
Dr. Slaa SHINDA SHINDA TENA KWA KISHINDO.
Hakuna ubishi hapa.
Kikwete hatukuhitaji tena tumechoka na ahadi hewa. Tunahitaji mabadiliko.
Elimu bure. Dah! nani zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.