kumbe ndio maana katumbuliwa na Dr kafumu na usomi wake hakupewa wizara yyte nacho myshukuru Mungu Jpm huwa anakupima uzarendo wako kwa nchi ndio unapewa wizara ukizingua tuuuu unapigwa za uso wazi wazi
mimi mwenyewe nimetumiwa hio email na SMS sijawaelewa kabisa Mbaya zaidi ni hio 20000 sijaijua iseeee wataalamu njooni mtusaidie na deadline ya kulipa hio hela Leo saa nimeingia kwenye website yao sijaielewa vizuri
Hivi nyie ukawa hamnaga jema wala baya yote hivi ni sawa!!!!!!!!!!!
huwa naaangalia comment zenu zote ni za kinafiki mno laaaa sijui mnataka lipi hapa Tanzania ufisadi ilikua ajenda yenu sasa hivi mnawatetea, Dr Presida kaenda kusali hamtaki, sikuhizi vya mchakato havipo nyie mnavitaka vya...
Nyie ingizeni mihemko tuuu prof kashachukua point Tatu za mezani na mzarau mwiba ........ Kazi kwenu yy sio mjinga kufanya hivyo kasimamia nguzo NNE hapo hayumbi
time will tell
Wewe unahamu ya kufa kibudu na sio bule na unatakiwa ukapimwe Akili mapema kabla hujasabisha hasara kwa jamiii au kabisa ushikwe unyongwe kesho uwanja wa taifa kabla ya mechi ya simba na yanga ili iwe fundisho pubavu kabisa wewe
Hii thread imeanza vizuri tatizo uchadema na uccm ndio umeiharibu
hiii nchi nani aliye iloga jamani maendeleo hayana chama kitu chenye masirahi ya nchi tuwe tunashirikiana ndugu zanguni hiii nyumba ni yetu sote tunanyanganyana fito ili iweje?????? Nawasi wasi kama tutafikia malengo ya maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.