Habari wandugu . naitwa saidi Rashidi napatikana wilaya ya ilala mkoa was dar as salaam mtaa wa bombani kata ya pugu. Naleta kwenu ombi langu LA kutafuta gari ya kazi aina ya Haice hesabu napeleka kwa siku 60. Kwa mwenye nayo au anamjuwa mwenyewe nayo na basi naomba tuwasiliane . 0712378559 pia...
Habari was ndugu Mimi no dereva was gari na ni mkazi wa pugu wilaya ya ilala mtaa wa bombani. Naleta kwenu maombi ya connection kwa yeyote mwenye gari aina ya Noah au sienta au zinazofanana na hizo. Naitaji kwa ajili ya kazi huku wilaya ya kisalawe na hesabu kwa wiki laki mbili...
Habari waungwana. Naitwa saidi Rashidi.
Naleta kwenu ombi kwa yoyote mwenye bajaj au kuna MTU anamjuwa ana bajaj ya mkataba naomba aniunganishe nae sio lazima iwe mpya hata kama imetumika tutaangalia miezi tu.
Mimi nakaa dar es salaam wilaya ya ilala eneo LA pugu mtaa wa bombani...
Habari wandugu. Naitwa Saidi Kalindura mkazi wa Pugu mtaa wa bombani wilaya ya Ilala mkoa wa Dar es Salaam.
Naleta kwenu maombi kwa yeyote mwenye gari aina ya noah au inayofanana na hiyo na yupo tayari tufanye kazi basi tuwasiliane ili tuyajenge. Mimi ntatoa hesabu ya wiki laki mbili. Tsh...
Nimefanya hii kazi Kwa muda wa miaka mitatu na nimefanya trip zaidi ya elf mbili na mia sita therasin 2630.mtu pia akitaka habari zangu zaidi tunaenda kwanza uber wanampa.
Hbr wanajamvi. Mimi ni dereva mwenye leseni deraja C Natafuta gari ndogo ya kufanya nayo uber. Nna uzoefu wa miaka mitatu na uber. Mawasiliano ni 0783213411
Sawa hapo umechanganya lugha sana amua kama kiingereza andika na kama umeamua kutumia kiswahiri tumia kiswahiri. Unajuwa unaweza kuwa ulikuwa na mada nzuri sana sasa ni jinsi gani unavyoiwakilisha kwenye jamii ndo tatizo na wengi wenu mnachemsha hapo na kiswangilish chenu.
Habari wana jamvi humu.siku kadhaa sasa zimepita tangu hawa watu wa reli ya umeme sgr wapite mtaani kwetu na kutuwekea alama ya kutakiwa nyumba zetu tubomowe kwa kuwa mradi wa huu wa train ya umeme unapita kwenye maeneo yetu hapa pugu station na kwa maelezo yao hatutakiwi kufanya jambo lolote...
Mimi ni dereva wa uber nawashauli tu wadau tumieni huduma hii ni nzuri sana sisi madereva tupo kwa ajili yenu na pia nafulahia kufanya kazi na uber kwa kuwa kila kitu kinaenda kigital zaidi hakuna mambo ya kupatana bei wala kugombana. KARIBU UTUMIE USAFILI WA UBER..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.