Habari za asubuhi.
Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000
Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000
Dolphin, automatic, 12 kg
Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90%
Ina miezi miwili tangu inunuliwe na haina shida yoyote
Vyote vinapatikana Sinza kwa Remi
Wasiliana...
Habari za jioni.
Nna uhitaji wa huduma ya kupata internet unlimited ambayo nitakuwa nalipia gharama fixed kwa mwezi.
Nimechoshwa na vifurushi vya mitandao yetu
Nina TV yangu Hisence LED.
Nataka niipe uwezo wa kuwa smart TV.
Interest yangu ni kuwa niweze
1. Kuaccess Netflix
2. Kuaccess youtube na kustream huko
3. Kuaccess football streaming applications kwa ajili ya kuangalia mechi mbali mbali za mpirs nje ya dstv
Naambiwa nahitaji kuwa na android tv...
Katika pita pita zangu nimetokea kupenda gari hizi
1. Toyota Voltz
2. Toyota Ractis 2011
Naomba pros and cons za hizi gari.
Mimi shughuli zangu ni hapahapa mjini, sina safari za mbali.
Zote mbili naweza kuzimudu mafuta na matengenezo.
Ipi inafaa hapo?
Habari za jioni.
Karibuni kununua kiwanja chenye nyumba ndani, kipo fenced.
Eneo ni Buguruni Kisiwani.
Bei ni millioni 70.
Kwa atakayependelea awasiliane kwa namba 0784307401. Huyu ni mmiliki mwenyewe wa kiwanja.
Habari za jioni,
Naomba kufahamishwa utaratibu.
Nina leseni ya udereva ambayo niliipata mwaka 2014, ika-expire 2017. Nilipitia driving school na kupata cheti kabla ya kupata leseni.
Tangu 2017 sikuwa na gari na hivyo sikwenda kurenew leseni yangu. Sasa nimepata gari na nahitaji kupata leseni...
Mtu amejitoa ameshonesha barakoa kali za kitambaa au kitenge au amefanikiwa kuoata surgical mask au hata n95.
Ila muda mwingi unakuta barakoa imeshushwa chini haifuniki pua kabisa na wakati mwingine hata mdomo haifuniki.
Sijajua mnajikinga na nini au mask zimekuwa ni fashion tu.
Tatizo...
Utaratibu wa kupata huduma za afya umekuwa mgumu sana siku hizi, imekuwa balaa kwa ndugu zetu wanaoumwa.
Ndani ya huu mwezi nimeshuhudia rafiki yangu akimpoteza binamu yake na babu yake bila kupata matibabu yoyote.
Wagonjwa wanakataliwa kwenye mahospitali na wanazungushwa sana.
Huyo binamu...
Habari za jioni mabibi na mabwana. Matumaini yangu mko salama salmin.
Ninaleta kwenu hizi dumbbells zangu ninazoziuza.
Sifa:
1. Ni pair moja ya dumbbells branded
2. Ni adjustable, unaweza ukaongeza au kupunguza plates hadi kufikia uzito unaotaka
3. Zimetumika kama 6 months hivi
4. Inakuja...
Habari za usiku mabibi na mabwana wa JF.
Kuna jambo ambalo ningependa kujua kutoka kwa yoyote mwenye ufahamu nalo. Kuhusu Uraia wa Tanzania, nimesoma Citizenship act ya Tanzania kuwa inatambua uraia wa aina tatu: Wa kuzaliwa (citizenship by birth), citizenship by descent na by...
Habari za asubuhi. Ni matumaini yangu wenzangu ni buheri wa afya.
Kuna hii kitu nilikuwa natafakari jinsi hali ilivyo kwa sasa katika jamii yetu. Kuna trend ambazo naziona ambazo zinaturudisha nyuma katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu.
UKIMWI upo jamani. Sisi tunaofanya kazi sekta ya afya...
I can do what I want,
I'm in complete control
That's what I tell myself
I got a mind of my own,
I'll be alright alone
Don't need anybody else!
I give myself a good talking to
No more being a fool for you
I remember how you made wanna surrender
Damn your eyes
They're taking my breath away
For...
Najua watu wengi sana ambao wapo katika kazi au ajira fulani ambayo kiukweli hawaipendi/hawaifurahii.
Je unapambana vipi na changamoto unazokumbana nazo? Umeweka mikakati ipi kuweza kujinasua?
Mimi nimesomea sekta ya afya na naimudu kiukweli upande wa ujuzi na utaalamu. Najitahidi sana kufanya...
Nampenda ananipenda. Tumefahamiana kwa muda kama wa mwezi mmoja.
Siku hiyo ananialika nyumbani kwake tuonane baada ya kutoonana muda mrefu. Najiandaa freshi naenda.
Njiani napitia keki na yoghurt kama zawadi. Nafika kwake ananipokea kwa fujo, kiss na hugs za kutosha.
Ananilisha keki na...
Mahitaji:
Vitunguu swaumu kadri uwezavyo
Tangawizi kadri uwezavyo
Asali mbichi kwa ajili ya ladha.
Andaa viungo vyako (vitunguu na tangawizi), weka kwenye blender na maji ya kutosha. Saga hadi itengeneze juice/uji fulani hivi.
Chuja kwa kutumia chujio upate juice. Weka asali kwa kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.