Je ni busara kutumia handle ya wizara ya afya kutoa ujumbbe wa kidini?
WAZAZI NA WALEZI WASIMAMIENI WATOTO KUSOMA DINI
Na. WAF - Dar Es Salaam
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewaasa wazazi na walezi nchini kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ya Dini ikiwemo kuwasomesha Qur’an sambamba na...
Lavish, versatile multi-use oil for massage, bathing or a pre-shampoo treatment for dry hair. With Hydracare+, antioxidant, tonic Ginger Oil, nourishing Coconut Oil, Vitamin E and Sweet Almond Oil to beautify and improve texture
Ina matumizi mengi:
Kama sabuni ya kuogea
Inaboresha nywele...
Wadau,
Nilikuwa naomba msaada kidogo kwa wale wenye uzoefu wa haya mambo.
Ni printers za aina gani za size ya kati(siyo heavy duty wala tudogo kabisa) ambazo zinafaa ku print brochures/vipeperusi vikaonekana vimetengezwa professionally
Na kati ya hizi software za ku design graphics ni ipi...
Wakuu,
Naomba msaada wenu katika hayo mambo niliyoyaorodhesha hapo chini ili kufanikisha utafiti wangu mdogo kuhusu Internet Business hapa TZ
10 Most popular Blogs
10 Most popular Community Websites/ Online Forums
5 Most popular E-Business websites
5 Most popular Travel Websites- Hizi ni...
Wakuu nilishawahi ona thread yenye software na keys zake. Kama kuna mtu anaikumbuka naomba anipe link yake ...nilikuwa natafuta antivirus software haraka iwezekanavyo!
Mwandishi wa Polisi, Zanzibar
JESHI Polisi visiwani Zanzibar, limewaagiza wamiliki na wafanyabiashara wa baa visiwani humo, kuchukua tahadhari kwa kuweka walinzi imara katika maeneo yanayozunguuka nyumba za biashara hiyo, ili kuepuka matukio ya uchomaji wa baa zao.
Rai hiyo ilitolewa...
Leo wakati najikumbushia program fulani ya computer nilikutana na formula ya kupata mwezi wa pili una siku ngapi kati ya 29 au 28 katika mwaka husika. Nimejiuliza sana ....hivi kama ulizaa mtoto tarehe 29 february 2000 leo hii huyo mtoto atakuwa na miaka mingapi? 11 au 2 au 11 toa siku chache...
Walipasua daraja la kwanza kidato cha sita
Wazawadiwa kitita cha fedha, kompyuta
Watambulishwa bungeni, Bunge larindima
Wanafunzi 20 waliofanya vizuri katika mtihani wa Taifa wa kidato cha sita mwaka jana wakiwa Bungeni ambapo walizawadiwa jana bungeni mjini Dodoma na Waziri...
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza huenda likamkamata Mbunge wa Busega kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Titus Kamani, ili kumhoji kuhusiana na tuhuma za kutaka kumuua aliyekuwa Mbunge jimbo hilo, Dk. Raphael Chegeni.
Tayari Jeshi hilo limekwisha kumwandikia barua Katibu wa Bunge la...
VIONGOZI wa dini mbalimbali nchini wamesema wamechoshwa kuona wageni wakinufaika zaidi na rasilmali za taifa kama madini ambazo ni mali ya Watanzania huku wakiwaacha wananchi wakibakia kwenye umaskini wa kutisha.
Katika tamko lao la pamoja lilitolewa jana na kuhusisha viongozi wa...
VURUGU kubwa zilizuka juzi kwenye kituo cha Polisi Babati Mjini mkoani Manyara baada ya wafanyakazi wa kampuni inayojenga barabara ya Chico, raia wa China kumpiga mkuu wa kituo hicho, ASP Shaaban Minginye na mkuu wa polisi jamii mkoani humo, ASP Morris Okinda.
Tukio hilo lililodumu kwa saa...
MKAKATI wa makusudi umesukwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kudhoofisha jitihada za kisiasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), MwanaHALISI limeelezwa.
Mkakati unalenga kuzuia viongozi wakuu wa CHADEMA kufanya kazi za kisiasa na hata za kibunge; kwa kuwapotezea muda katika...
Wenyeviti wa vijiji vitatu vilivyopo Kata ya Nyamongo, wilayani Tarime wametua jijini Dar es Salaam na kueleza wanaunga mkono viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutetea haki za wananchi wa eneo hilo.
Wakizungumza katika kikao cha pamoja na wananchi wa Nyamongo wanaoishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.