true bt mwaka jana watu walifanyiwa mchezo mchafu waliwekewa hivyo but udsm walirudisha majina yao so wakatakiwa kufanya 2nd and 3rd round of application. so not 100% uhakika
hata uwe na point 5,6,7,9 hawa jamaa ni wa sumbufu na hyo system yao mwaka jana watu walikua na pointi nzuri sana buti walifanya application hadi 4th round, chakufanya komaa nao ikiwezekana wafuate
kama unataka BE IN ECONOMICS AND MATH NENDA MZUMBE but kama BE IN ECONOMICS ONLY ipo Mount Meru University (MMU na addmission requirement zake na loan amount hizi hapa
Bachelor of
Education in
Economics
MM006 Two principal
passes at A
level one of
which must be
in
Mathematics
or Economics
or...
Kwa wale walio appeal bodi ya mikopo na sikitika kuwaambia wale wa mwaka wa kwanza mlio nyimwa na kuambiwa ni NON PRIORITY sasa HESLB wanawaita ni UNSUCCESSFUL na wamenyimwa tena. kamakawaida waswahili wanasema ALIYEKUWANACHO ATAONGEZEWA na ndivyo ilivyo tokea wamepewa(wameongezewa) wale tu...
nimejaribu kutumia moderm tofauti za airtel, tigo, voda, na zantel but tatizo lipo palepale. napachomeka moderm ina detect device na network na ukiconnect ina inaonesha ipo connected lakini napojaribu kwenda online inagoma au inaleta DSN server not respondingau no internet access.
pia kwenye...
St. John's University of Tanzania
26th December, 2011,
Press Release
REOPENING OF THE UNIVERSITY AFTER TEMPORARY CLOSER
On 21st December, 2011, some students at St. John's University of Tanzania (SJUT)
Main/Mazengo Campus held an illegal strike over the status of their 2nd Quarter Meal
&...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.