Search results

  1. It is Sur_Plus

    Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

    true bt mwaka jana watu walifanyiwa mchezo mchafu waliwekewa hivyo but udsm walirudisha majina yao so wakatakiwa kufanya 2nd and 3rd round of application. so not 100% uhakika
  2. It is Sur_Plus

    Jamani selection za TCU ni lini?

    punguzeni mchecheto mbona huulizi second round ya application inaanza lini?????????? mwaka jana walifanya had 4th round
  3. It is Sur_Plus

    Msaada wa mawazo na utalaamu tcu yanipa kichaaa

    hata uwe na point 5,6,7,9 hawa jamaa ni wa sumbufu na hyo system yao mwaka jana watu walikua na pointi nzuri sana buti walifanya application hadi 4th round, chakufanya komaa nao ikiwezekana wafuate
  4. It is Sur_Plus

    Mbeya kwa waka tena ni vurugu nyingine.

    Nyie vurugu ndio harakati zenu chomeni hadi nyumba zenu
  5. It is Sur_Plus

    Mlio-apply tcu NOT eligible zisiwachanganye.. Tc yu ni VIAZI..

    ukiona hvyo ujue degree program unayoomba imejaa tayari so ni vema ukajaribu nyingine mambo ya auto hayo
  6. It is Sur_Plus

    The ufisadi of udom

    jipange upya uli uje kujaribu kudanganya tena
  7. It is Sur_Plus

    Mwenye kuifahamu BCom-ISM [Information Systems Management]

    usitishike pale kwenye duration imekosewa ni miaka 3, then inadeal na information management na sio information technology direct
  8. It is Sur_Plus

    Kuna bachelor of education in economics Pekee?

    kama unataka BE IN ECONOMICS AND MATH NENDA MZUMBE but kama BE IN ECONOMICS ONLY ipo Mount Meru University (MMU na addmission requirement zake na loan amount hizi hapa Bachelor of Education in Economics MM006 Two principal passes at ‘A’ level one of which must be in Mathematics or Economics or...
  9. It is Sur_Plus

    Ufisadi mkubwa wa fedha za Mikopo UDOM

    [/color] hali inaonekana kua mbaya na ngumu kwako tu mkuuu mbona wengine wana chekelea tu mtaani na chuoni zimwi la kuwasaliti wenzenu litawamaliza
  10. It is Sur_Plus

    jinsi ya kutatua tatizo la WINDOW 7

    fanya kupakua(download) hii WINDOW ACTIVATOR REMOVE WAT then run software/remove wat/restart
  11. It is Sur_Plus

    HESLB APPEAL RESURTS 1st YEAR & CONTINUING APPELLANTS

    Kwa wale walio appeal bodi ya mikopo na sikitika kuwaambia wale wa mwaka wa kwanza mlio nyimwa na kuambiwa ni NON PRIORITY sasa HESLB wanawaita ni UNSUCCESSFUL na wamenyimwa tena. kamakawaida waswahili wanasema ALIYEKUWANACHO ATAONGEZEWA na ndivyo ilivyo tokea wamepewa(wameongezewa) wale tu...
  12. It is Sur_Plus

    Network connection shows that it is connected but I try to go online "No network Access" shown

    nimejaribu bt now kwenye taskbar icon inaonesha network access lakini nnapo enda online inagoma hairespondi chochote
  13. It is Sur_Plus

    Network connection shows that it is connected but I try to go online "No network Access" shown

    nimejaribu kutumia moderm tofauti za airtel, tigo, voda, na zantel but tatizo lipo palepale. napachomeka moderm ina detect device na network na ukiconnect ina inaonesha ipo connected lakini napojaribu kwenda online inagoma au inaleta DSN server not respondingau no internet access. pia kwenye...
  14. It is Sur_Plus

    Mikopo chuoni

    mbona majibu ya rufaa yamesha toka na majina ya wanafunzi waliopata yamesha pelekwa vyuoni
  15. It is Sur_Plus

    EBOO!! Ina maana hii shule ni ya massawe na wanawe tu....

    duuu!!! hii shule si wangeipa jina la MASSAWE MUNISHMALLYA SEC SCHOOL
  16. It is Sur_Plus

    Vodacom free internet yet again :)) COMPLETELY OWENED.. do it FAST

    Mkuuu you are bigger than network ni mpango mzima. Vip mbona kwangu speed kidogo ipo low wakati inatakiwa iwe high
  17. It is Sur_Plus

    Injinia Stella Manyanya alifunda jiji la Dar kiaina!

    anapaswa kuigwa katika juhudi zake na si mbwembwe za kuonesha ufundi wa kukosoa kalalama na kuishia kua wachafu
  18. It is Sur_Plus

    ST John na umombo "kanumba" - "Temporary Closer" au "Temporary Closure" ?

    St. John's University of Tanzania 26th December, 2011, Press Release REOPENING OF THE UNIVERSITY AFTER TEMPORARY CLOSER On 21st December, 2011, some students at St. John's University of Tanzania (SJUT) Main/Mazengo Campus held an illegal strike over the status of their 2nd Quarter Meal &...
Back
Top Bottom