Habari! Wana JF, Ujasiliamali, Mimi nina ujuzi wa kubuni na kushona mavazi ya kike, ila sina vitendea kazi so natafuta mtu wa kuweza kununua vifaa vya Garment tushirikiane kwenye biashara hiyo.
Nawatakia wakati mzuri.
Wasalamu! Naomba kufahamishwa sehemu gani Mwanza mjini naweza kupata machine za kushonea nguo na bei zake, e.g Cherehani na overlock machine. Mbarikiwe kwa muda wenu mtakao nisaidia.
Mimi ni msichana Wa umri Wa miaka 24 natafuta kazi ya ualimu Wa chekechea Arusha Kwa mwajiri yeyote mwenye uhitaji naomba aniajiri nifundishe watoto. Sintaweka namba hapa Ila PM kwamwajiri atakaye hitaji mwalimu Wa chekechea.
Habari wanajamii wenzangu.
Nimeamini hakuna uganga wa kweli huku usukumani maana katikapitapita zangu kwa hawa wanaojiita waganga kila unayekwenda kumuona anakuambia umpe matatizo yako sasa kwanini asikupime yeye mwenyewe alafu akakuambia ukweli.
Na mbona anakuambia vitu ambavyo havipo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.