nadhani hakuna tatizo mana hawana undugu,mi kuna watu nawafahamu wameoana ni binamu na wamelelewa pamoja, offcourse siku za kwanza watu walisema sana lakini sasa washazoeleka na wanaishi vizuri. usije ukamzua dadako kuolewa na huyo shemijio hlf baadae akakosa kuolewa ukalaumiwa wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.