Search results

  1. A

    Global Publishers!

    Global ni ccm pure kwa hiyo tusishangae.
  2. A

    Elections 2010 Amos Makalla "Maji ya Shingo" Mvomero

    CCM wanamuhitaji sana makala awe mbunge ili apewe uwaziri, so CHADEMA wanatakiwa wawe makani sana kwenye kura maana ccm ni wataalam wa kuchakachua
  3. A

    Hivi watanzania wenzangu kweli hili haliwezekani???!!!

    Hiyo kitu ni nzuri na jamii inatakiwa ibadilike ni bora mtu uchangie elimu kuliko harusi mana huyo mtoto akipata hiyo elimu atakuja kulisaidia taifa.
  4. A

    Hussein Bashe Historia itakuandika

    huyo mwakalebela ni mganga njaa ndo maana kakubali kuwa ndio mzee, labda kuna kitu kaahidiwa. Hongera kwa bashe
  5. A

    Elections 2010 Mrema aapa kuivuruga Chadema

    kama anataka kurudi ccm si arudi tu kelele nyingi za nn, tushamchoka
  6. A

    Shem na My sister!!

    nadhani hakuna tatizo mana hawana undugu,mi kuna watu nawafahamu wameoana ni binamu na wamelelewa pamoja, offcourse siku za kwanza watu walisema sana lakini sasa washazoeleka na wanaishi vizuri. usije ukamzua dadako kuolewa na huyo shemijio hlf baadae akakosa kuolewa ukalaumiwa wewe.
  7. A

    Nimeshikwa pabaya - wakuu naomba msaada tutani!

    pole sana mdau, ni vizuri ukitafuta pia na picha za wapenzi hao ambazo zitaprove wana mahusiano hlf umtumie huyo mume wake.
Back
Top Bottom