Chuoni inahitajika laptop ili uweze kusoma notes na u-type kazi zako vizuri na kwa uharaka.
Huwezi type kazi ya page let's say 3 kwa kutumia simu... Hata udogo tu wa screen utaleta kero kwako. Tafuta laptop na iwe screen kubwa tu sio ununue vi-minlaptop.
Chukua laptop achana na simu.
Na sasa mvua isiponyesha ukiomba mvua haiji unaambiwa Mungu hujibu kwa wakati wake....
Kama sina chakula leo... Nikiomba Mungu atanipa hata baada ya miaka 10 ndicho tunachoambiwa ni sahihi.!
Tumejisahau sana sisi Waafrika.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Asili yetu ni hayo unayoita ndumba, tusisahau mila na desturi zetu na kukazania dini zilizoletwa na wakoloni... Kwa nini kila taratibu walizozikuta Africa zionekane hazifai? Ila tamaduni za wakoloni ndizo zionekane zinafaa? Ukristo /uislamu ni dini za wazungu/waarabu na ni tamaduni za wakoloni...
Kwa maelezo yako, kweli unaweza ukalala na yoyote na baada ya hapo ubadilishe na wote wawe wanakupikia na kukufulia?
Unawagonganisha makusudi wanawake? Akimkuta mwenzake kwako ndio asepe, ulete mwingine? Na mchezo uwe hivyo hivyo? Sijui lakini kwa mimi naona si rahisi mkuu, labda mimi muoga...
Habari ndugu zangu.!
Nina mpango wa kununua friji isiyozidi Lita 200. Napata shida katika kuchagua kwa kuwa sina uzoefu, Naomba mnisaidie kutambua sifa za friji ambayo haitatumia umeme(units) mwingi na jinsi ya kukagua dukani friji kujua hizo sifa.
Nipeni uzoefu katika hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.