Habari Wanajukwaa wa JamiiForums ?
Natumai mko salaama.
Leo ni nina kero ya muda murefu sana kutokana na umeme wa huku Bariadi Mkoani Simiyu ambao umekua ukikatika na kurudi kila wakati kutwa nzima usiku kucha kama ka mchezo flani hivi.
Yaani umeme umaweza ukawaka kama dakika 30 hivi au lisaa...
Jaman naombeni msaada kwa wale watalam wa computers !
Nifanyeje Laptop yangu battery yake iweze kukaa miaka mingi bila kupungua uwezo wa kutunza moto ?
Habari zenu humu ndani .
Mimi kuna maneno nimeyasikia sana mitaani kuhusu hizi boksa tunazovaa wanaume watu wakidai eti ukizivaa kwa muda mrefu zinapunguza nguvu za kiume !
Mwenye ukweli kuhusu hilo tafadhali !
Jamani mimi hua nabishana na watu sana kuhusu michepuko !
Eti mchepuko inatakiwa awe mkali kuliko mke/mume wako ?
Au inatakiwa awe anazidiwa na mke/mume wako ?
Kwa nini ?
Habari !
Mimi ni mtalaam wa ku unlock icloud kwenye iPhone na iPad aina zote ila bei ni kubwa wenye moyo ndio hua nafanya nao kazi.
Niko jijini Mwanza wasiliana na mimi kwa namba +8613320286695 na 0719258733(whatsapp only) usipige simu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.