achana na voda,tigo think off kufanya kazi na makampuni ya marekani ukiwa tanzania yaan remotely. what is needed is skills. mfano nakupa pa kuanzia gonga hii coz by the tme unamaliza utakuwa ushapata connection kibao https://www.coursera.org/professional-certificates/google-it-support
usisahau...
mkuu kama umesoma telecom najua utakuwa uko vizur kwenye programming, engineering mathematics etc. nakushauri tafuta kazi za remote ufanye kama data analyst, automation engineer, data scientist etc, hata kama hauna huo ujuzi nakushaui utenge miezi kadhaa ya kujionoa na kung,arisha ujuzi wako you...
habari,je una ngo? na unataka kupokea donations online ? kama jibu ni ndio basi umepata suluhisho.
ntakuwekea donation tab kwenye web yako ambapo utaweza pokea donations kutoka kwa site visitors.
wataweza donate via visa,mastercad,mpesa na tigopesa
call 0656313361 for more info
habari wanajf kuna hizi nafasi za andela ambazo huwa zinatoka kila mwaka ambapo mtu akiipata huwa anakuwa enroled kwenye andela learning comunity
baada ya miezi sita wanaofanya vizuri huwa wanakuwa interviewed na andela ,then ukipita unapewa ajira ambapo miezi sita unapewa tena mafunzo zaidi juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.