1AZ FSE ni engine nzuri ikiwa utakuwa makini kiutunzaji,Nina experience na hizi engine,zimekuwa zikisumbuliwa na mfumo wa mafuta mara nyingi zikizingua,hivyo basi hakikisha unaweka petrol safi,pili zina overheat Ila ni uzembe wa wamiliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaiona haki pale IGP atakopowajibika,hizi sarakasi zinachezwa,naikumbuka ile siku kamanda Siro alipokutana name wanahabari kuzungumzia swala la Mo kutekwa,hakuonyesha weledi kwenye kazi yake na baadhi ya maswali aliyajibu kwa shortcuts kama kwamba kuna kitu alikuwa anakwepa kukiweka wazi,leo...
Prof Kabudi!! kweli ni professor aliyebobea katika sheria,lkn juzi kile alichokiongea mbele ya MP sikumuelewa kama ninavyomfahamu kwamba ni prof,ila najiuliza ndiyo types prof of tz,au aliamua kujifanya kilaza,sijapata jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa muathilka wa kufanya punyeto mpaka uume wangu ni mdogo kuliko kawaida kuna uwezekano wa uume kurudi katika hali yake ya kawaida?naomba msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mambo mengi ya kuongeza unywaji wa mafuta kwenye gari bila shaka gari lako litakuwa na miss,waweza pia kutumia hii namba ipo whatsapp 0782738750.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hyo gari haiwezi kuwa na fuel conception ya hivyo hata iwe mbovu kiasi gani,mambo ya kuzingatia hakikisha hai smoke nyuma kwenye exhaust,then kama ina moshi mweusi kutakuwa engine missfuring.au tuwasiliane 0716295687.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
unit kwenye tank in mpya na wiring from tank to dash ziko vizur Ila ttzo limo kweye dash,sijui nn kinazisumbua nyingi zinaharibika dash na zote case ni gage,upo mkuu?
Habari wana jamvi? naomba kuwauliza hasa wataalam wa umeme wa tattzo la gage kwenye dashboard(cluster) za nissan patrol yenye main na sub tank husabishwa na nn? na linatatuliwa kwa ambao wameshakutana nalo? Mimi ni fund wiring zamimi zimekuwa zikinisumbua sana sana,naombeni mawazo yenu kwa wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.