ASKOFU MUNGA ANAONGOZWA NA BIBLIA AU HISIA
Na Mwamba wa Kaskazini, Ngarenaro
Leo nimesoma andiko la kiongozi wangu wa kiroho lakini akinena ya kidunia zaidi Baba Askofu Dkt. Munga.
Nikiwa muumini wa KKKT ni shuhuda wa uwezo na kipawa cha kiroho alichonacho Baba Askofu Dkt. Munga.
Hata hivyo...
Askofu Dk.Stephen Munga,Mkuu wa KKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (Tanga)
Wewe Baba Chagua kuwa Mchunga Kondoo ama Mwanaharakati,Usiliingize Kanisa kwenye Utashi Wako
Inashangaza sana kuona Baba Askofu tena Daktari unashindwa kutambua wadhifa na mamlaka uliyonayo na kutotambua kuwa kauli...
KITU CHA MAANA SIYO KUPANDISHWA MSHAHARA. KITU CHA MAANA NI JE MSHAHARA WAKO UNAWEZA KUFANYA NINI ? KWA MWENENDO WA RAIS MAGUFULI KAMA AMBAVYO SOTE NI MASHUHUDA, VITU NA BIDHAA HAZIPANDI BEI NA HIYO MAANA YAKE HAKUNA MFUMUKO WA BEI. KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI NI MUHIMU SANA KULIKO MSHAHARA...
ACHA KUPIGA RAMLI WEWEEEEEE. TATIZO LENU MNAANGALIA MALALAMIKO YA WAPIGA DEAL KUFANYA TAHMINI YA KUKUBALIKA KWA JPM. MAGUFULI YUPO STRAIGHT NA WANANCHI TUMEAMUA KUWA STRAIGHT BAAADA YA KUONA SHORT CUT HAZINA FAIDA. ACHANA NA WAPIGA DEAL WANAKUPOTEZEA MUDA NA KUKUHARIBIA MAISHA TUUU
ASANTE MAKAMBA KWA KUAMUA KUONDOA PICHA YA MZEE MWINYI. ASANTE KWA KUTAMBUA KUWA ULICHEMKA KWA KUFANYA MAAMUZI YENYE HASIRA. NINI KIMEMFANYA AFANYE HIVYO MAJIBU YAPO HAPA
YETU MACHO!!!! PETRO ALIMSALITI YESU AKASAMEHEWA NA LEO HII YUPO MBINGUNI ANAISHI. YUDA ALIKUWA MNYENYEKEVU PIA LAKINI ALIKUWA MSALITI NA MNAFKI. HAKUNA KITU KIBAYA UKIFAHAMU UNAEMWAMINI SIKU NYINGI NI MNAFKI.
JANUARY MAKAMBA AMEFANYA HIVYO AKIAMINI KUWA KILICHOMTOKEA KWA RAIS MWINYI AKIWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI NA KUSABABISHA AKAJIUZULU KWA SABABU YA MAUAJI YA SHINYANGA BASI NA YEYE JANUARY ITATOKEA HIVYO KWA KUWA NDOTO YAKE NI KUWA RAIS 2025.
KITU AMBACHO BADO HAJAELEWA VYEMA JANUARY, NI KWAMBA...
ACHA KUPOTOSHA WEWEEE !! JANUARY MAKAMBA AMEKUWA MKWELI KWA LIPI ZAIDI YA KUONESHA KUWA NI MSALITI. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUMVUMILIA MSALITI. HUWEZI KUWA KWENYE CABINET HALAFU UNASHIRIKI NJAMA DHIDI YA BOSS WAKO. DAWA YA WASILITI SIKU ZOTE NI KUONDOLEWA TUUUU. ZITTO ALINUNULIWA NA JACK ZOKA -...
Ripoti za Benki ya Dunia ni ripoti za kibeberu na zenye lengo la kukandamiza nchi ambazo zimeamua kujitambua. Kama wewe hujajitambua utasifiwa kila siku. Ni sawa na mwanamke malaya kinachomfanya aendelee kuwa malaya ni kila mwanaume lzma amsifie. Sasa kama wewe siyo malaya kwa nini usifiwe ? Ni...
UPDATES: Kijana Aliyejiua Mwanza Alikuwa na Pesa, Alizidiwa na Stress*
Na Blogu ya Jamii, Mwanza
Saa chache baada ya kijana aliyejiua Mwanza, marafiki wa karibu wameshangazwa na polisi Mwanza kushindwa kufuatilia ukweli wa sababu za kijana aliyejiua katika jengo la Rock City Mall na kutaja tu...
ZITTO NA MEMBE NA JITIHADA ZA KUTURUDISHA TANZANIA YA "SHAMBA LA BIBI ".
Tanzania ya "Shamba la Bibi " ilianzia kwenye CCM shamba la bibi na Upinzani shamba la bibi, kwa ujumla vyote vilizaa matunda ya Ufisadi, wizi, uhuni, utapeli, ukosefu wa maadili na kustawisha shamba la bibi kwa muonekano...
Kwa akili zako kuwa ndogo ndy maana unachukua muda wa siku 3 kutafakari upuuzi. Kiongozi anachagua mtu atakayefanya nae kazi FINISH. Huwezi chagua au kuteua mtu ambaye huwezi kufanya nae kazi unless wewe chizi. Sasa ukiona unatumia muda wa siku 3 kutafakari upuuzi jiulize swali utatumia siku...
Tatizo la watu wenye kutegemea misaada ndy hilo. Sasa kama wamekataa kuna tatizo gani ? nani aliyewaomba hiyo misaada ? Tutapata suluhisho la fedha kutoka kwa watanzania wenyewe na siyo wageni hao.
Hata kama angekuwa hajapotezwa na chadema, bado ni mtu wenu, viongozi wenu hawafanyi sawa kuendelea na maisha as if hawajapotelewa na mtu muhimu kama Saanane. Kuna kitu mnaficha ndio maana akitokea mtu kukumbushia suala hilo mnatokwa mapovu mengi na mishipa ya shingo inawasimama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.