wana jf, kwa kipindi cha zaidi ya wiki moja tumesikia madai ya ccm kwamba dr. slaa ni
mwanachama mwenye kadi (inayolipiwa) wa ccm. pamoja na mengi yanayozungumzwa
kuhusu hili lipo jambo ambalo naona wengi hawalizungumzii. nalo ni hili,
kwa kukiri hadharani kwamba dr. slaa ni mwanachama wa ccm...
binti mstaarabu kanizimikia. kanieleza ukweli wa moyo wake
na kwamba anatumaini tunaweza kufunga ndoa. binti ni mrembo
wa haja na anaelekea na wife material. anasema ameniona mimi ni
mtaratibu na mstaarabu. tatizo japokuwa naonekana mtaratibu ukweli
mi ni silencer na muharibifu flani hivi. sioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.