Hao wote wanaotetea wameoa darasa la 7 B janamke likiamka asubuhi linapiga miyayo tu......aiseee kwangu nilishaipinga vikali.
Ngoja upate ajali uoneeee kama familia haijala nyasi na mkeo atagongwa kupitilizaaaaaa
Sijawahi kuwaza wala kufikiria kuwaza kuoa goli kipa .....aisee awamu hii na karine hii goli kipa utatatamani ufeee tu.....jitu halina mshahara then pasua kichwa ...pumbavu.
Narudia tena pesa huleta amani ktk penzi.
NB. Ukiona umeoa mke na nimfanyakazi lakini pesa zake huzioni ujue huyo sio...
Sio kweli ....mke mwenye kujielewa alipaswa kutafuta mbinu yakumleta mme wake karibu.....hata ingekua mm kama kila nikirudi home mke hana bashasha na mm ndo kwanza ananiletea matatizo mengi na stress kibao nakaaje home sasa sibora nichelewe tu huko job au nipigie bar nipige Vyombo home nageuka...
Hapo hakuna mke aisee.....istoshe mkuu nakupongeza hata baada ya kujua umesalitiwa bado unaomba ushauri daaaah...... Yani up to now hadi namba yake unayo? Aisee ninavyojijua mpaka sasa ningesha vuta chombo matata sana home na ningejitahidi akione ili tusheee maumivu.
NB. Yani anakusaliti alafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.