Mie haya mahindi ya kuchoma wanayouza kwenye magari hata kabla ya corona nilikuwa sinunui. Emagine mtu na mikono yake haujui ameshika nini na wapi anayashika shika wala hanunui wewe unakuja kuununua unakula tuu. Muhindi mmoja unashikwa za zaidi ya abiria kumi wa kumi na moja ndie ananunua.
Hii...
Toa mfano wa daraja moja lililovunjika nikuambie sababu ni nini halafu ndio uje na conclusion yako. And do you know what miradi yote inayofanywa hapa tz na hao wa nje inasimamiwa na wataalamu wa kitanzania. Unaweza kusimamia kitu usichokijua.
Hapa achana na mamiradi kama ya umeme bwawa la...
Acha kuamini watu wa nje wewe. Unadhani vitabu vya nje na ndani ni tofauti??
Skills ni zile zile. Point hapa ni ufinyu wa budget tuu hamna kingine usidanganyike ndugu
Kama unadhani ni chadema peke yao wanamtaka membe haujitambui mkuu. Wa ccm wengi ndio wanamtaka membe ila kufungua mdomo ndio shida. Chadema wao wanaongea ila upande wa pili ongea uone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.