Sioni mabadiliko yoyote kama wananchi wamewakataa Steven Wassira, Agrey Mwanri, Charles Makala halafu JPM awarudishe na kuwapa Wizara, nitakuwa ni dharau kwa watanzania.
CCM ni baba wa UFISADI, kama kweli Magufuli ni mzalendo na Muadilifu kama mnavyompamba kwenye Mabango barabarani atwambie kwanini alikuwa dalali wa uuzaji wa nyumba za serikali, kwanini amenunua Meli chakavu kwa mabilioni ya pesa? kama taasisi iliyo chini yake Tanroads inanuka kwa rushwa je yeye...
Kwahiyo mnajitekenya na kucheka wenyewe? kama mungekuwa mmetekeleza hayo yote mnahangaika nini na kampeni na kuspend over 100 Million per day kuwalipa wasanii ili mpate nyomi? CCM Out
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.